Mimi nilikuwa bado sijazaliwa.50 kweusi huko.. Sasa mshahara wa mtu ulikuwa 250 na unamtosheleza kila kitu, elfu 30 huoni kama ni oesa nyingi saana.
KumbeeeeMiaka ya sabini wahasibu na watu binafsi walikuwa wakiporwa fedha walipokuwa wakienda au kutoka benki. Na matukio mengine yalikuwa fake. Kwa wakati huo Sh.20,000 ilikuwa ni mishahara ya taasisi nzima au mauzo ya wiki na zaidi. kuona hivyo serikali ikatunga sheria hiyo kwamba mtu yeyote akiwa anaenda au anatoka benki lazima asindikizwe na polisi. Na benki walikuwa hawalipi cheki ni lazima polisi asaini nyuma ya cheki kuthibitisha escort yake. Kuna wahasibu wajanja walikuwa wakiandika cheki ya 19,900 au cheki mbili za sh. 10,000 kukwepa adha ya kufuata escort. kwa bahati mbaya sheria hii imepitwa na wakati na haijarekebishwa.
Jaribu mkuu utuletee mrejesho.Hii niyakujaribu
Sasa kama nina ki-elfu hamsini changu nataka nikanywe beer bar naweza kuomba escort! manake bar kuna wahuni wengiHii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .
Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Halafu kinabaki nini kinachosababisha uombe escort?Utalipa hiyo 30k utabaki unadaiwa 20k.
Mh wewe unataka kunifukuzisha kazi sio bure .wewe ndio umeruhusu hayo sasa chakufanya tafuta bundi nikimaanisha wale ndege wawili afu nenda nao kijijini ukifika kule usiongee na mtu toka hapo wataanza kukuhis we wanga au nunua bangi pita kuvuta afu kuwa serious wtz wanavyomwogopa mvuta bangi itakusaidia
Naaam , unakunywa hapo mpaka unamaliza.Sasa kama nina ki-elfu hamsini changu nataka nikanywe beer bar naweza kuomba escort! manake bar kuna wahuni wengi
Askari anachukua ngapiHii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .
Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Hata jero ya vocha humpiAskari anachukua ngapi
Changia kwanza mada wewenimekumiss bamdogo
NaaaamKazi ya police ni kulinda raia na mali zao
Kila raia inatakiwa iwe na askari anayemlinda popote
Mie naruka majoka enzi hizo.Mimi nilikuwa bado sijazaliwa.
Weka hapa kifungu cha sheria, sio twende tukale mbata za kufa mtu.Cha msingi uwe na pesa kuanzia elfu 30
Nimecheka sanaAnhaa natamani unieleweshe vizuri je hiyo hela wanaihesabu au hata nikibeba nguo zangu kwenye begi nikasema ni hela ila nahitaji escort nikiwadanganya nimebeba hela watakubali ?
Maana nataka nije nao kama kumi huku kijijini ili wanakijiji waniogope sasa
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Enzi hizo thumuni na senti inatumikaSheria za miaka hiyo, shilingi 30 elfu unajenga nyumba unamaliza na kuhamia kabisa.
sina hata la kuchangia mimiChangia kwanza mada wewe