Je, unajua ukiwa na Tsh elfu 30 tu unaruhusiwa kwenda kuomba escort ya polisi ikupeleke mpaka unapoenda?

Je, unajua ukiwa na Tsh elfu 30 tu unaruhusiwa kwenda kuomba escort ya polisi ikupeleke mpaka unapoenda?

Miaka ya sabini wahasibu na watu binafsi walikuwa wakiporwa fedha walipokuwa wakienda au kutoka benki. Na matukio mengine yalikuwa fake. Kwa wakati huo Sh.20,000 ilikuwa ni mishahara ya taasisi nzima au mauzo ya wiki na zaidi. kuona hivyo serikali ikatunga sheria hiyo kwamba mtu yeyote akiwa anaenda au anatoka benki lazima asindikizwe na polisi. Na benki walikuwa hawalipi cheki ni lazima polisi asaini nyuma ya cheki kuthibitisha escort yake. Kuna wahasibu wajanja walikuwa wakiandika cheki ya 19,900 au cheki mbili za sh. 10,000 kukwepa adha ya kufuata escort. kwa bahati mbaya sheria hii imepitwa na wakati na haijarekebishwa.
 
Miaka ya sabini wahasibu na watu binafsi walikuwa wakiporwa fedha walipokuwa wakienda au kutoka benki. Na matukio mengine yalikuwa fake. Kwa wakati huo Sh.20,000 ilikuwa ni mishahara ya taasisi nzima au mauzo ya wiki na zaidi. kuona hivyo serikali ikatunga sheria hiyo kwamba mtu yeyote akiwa anaenda au anatoka benki lazima asindikizwe na polisi. Na benki walikuwa hawalipi cheki ni lazima polisi asaini nyuma ya cheki kuthibitisha escort yake. Kuna wahasibu wajanja walikuwa wakiandika cheki ya 19,900 au cheki mbili za sh. 10,000 kukwepa adha ya kufuata escort. kwa bahati mbaya sheria hii imepitwa na wakati na haijarekebishwa.
Kumbeeee
 
Hii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .

Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Sasa kama nina ki-elfu hamsini changu nataka nikanywe beer bar naweza kuomba escort! manake bar kuna wahuni wengi
 
wewe ndio umeruhusu hayo sasa chakufanya tafuta bundi nikimaanisha wale ndege wawili afu nenda nao kijijini ukifika kule usiongee na mtu toka hapo wataanza kukuhis we wanga au nunua bangi pita kuvuta afu kuwa serious wtz wanavyomwogopa mvuta bangi itakusaidia
Mh wewe unataka kunifukuzisha kazi sio bure .

Wenzio wana mpaka namba za maboss wa mkoa na wilaya yaani ukiharibu kidogo washapiga simu sasa kwa bangi si nitakuwa jobless sio muda .

Kwa bundi iko poa lakini huku wachawi wanauwawa wataniua usiku usiku hawana dogo hawa ndugu zake Mpenja

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama nina ki-elfu hamsini changu nataka nikanywe beer bar naweza kuomba escort! manake bar kuna wahuni wengi
Naaam , unakunywa hapo mpaka unamaliza.

Baadhi ya nchi mapolisi hawana mishahara , kazi Yao ndio hiyo mnakunywa anawalinda mpaka mnamaliza kisha mnampa chochote kitu kwa kuwalinda.
 
Hii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .

Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Askari anachukua ngapi
 
Bure ni maneno tu.
Lazima uwalipe pesa la sivyo watazaa na wewe.
Eti eskoti bure??
Serious?
 
Bwa sheee unahamu ya washawasha na virungu!
Watasema wewe una njaaa subiria afande Mwita, akuletee chai!!
Haloooo hebu li arrest Hilo[emoji1787]
 
Back
Top Bottom