Je, unajua ukiwa na Tsh elfu 30 tu unaruhusiwa kwenda kuomba escort ya polisi ikupeleke mpaka unapoenda?

Je, unajua ukiwa na Tsh elfu 30 tu unaruhusiwa kwenda kuomba escort ya polisi ikupeleke mpaka unapoenda?

Hii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .

Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
mie nataka wawe wananilinda nyumbani kwangu, si ni hiyo hiyo 30 kisheria inatosha pia ?
 
Hii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .

Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Haya nenda na hiyo 30k yako sentro waambie unaomba escort kama hujawapa shida familia yako kukutoa selo, chezea watu wote siyo polisi wa tanzania kama wanathubutu kuua hadi mlinzi kisa msako wa malaya
 
Hii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .

Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Pikipiki ya kingora defender mbili mbele na nyuma kwa elfu 30 utakuwa ni muendelezo wa utani kati raia na polisi
 
Anhaa natamani unieleweshe vizuri je hiyo hela wanaihesabu au hata nikibeba nguo zangu kwenye begi nikasema ni hela ila nahitaji escort nikiwadanganya nimebeba hela watakubali ?

Maana nataka nije nao kama kumi huku kijijini ili wanakijiji waniogope sasa

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu unatakaa wanakijiji wakuogope Kwan una ugomvii nao!!! Au unatakaa uheshimikee tu na c kuogopekaa mkuu..[emoji23][emoji23]
 
Wewe ndiyo hujaelewa mkuu
Elfu30 ni mali uliyonayo wewe na serikali yako imeona itunge sheria kwamba ikiwa unahama kutoka sehemu moja kwenda nyingine na unakiasi kuanzia hicho cha pesa basi waweza kuwataarifu polisi wakupe escort for free mpaka unapoenda
 
Hii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .

Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Asee . Wanakupakia kwenye bodaboda au wanakusindikiza na gari yao?
 
Hii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .

Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
elfu ishirini mkuu sio 30
 
Hii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .

Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
ukiwa unazipeleka wapi
 
Back
Top Bottom