Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mekumisi pia mamdogo. Mamdogo tuchange kila mmoja 15,000/- tukaombe escort polisi. Nasikia ni bure..!!nimekumiss bamdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mekumisi pia mamdogo. Mamdogo tuchange kila mmoja 15,000/- tukaombe escort polisi. Nasikia ni bure..!!nimekumiss bamdogo
Hujaelewa, means wewe ukiwa na 30k unaweza omba escort 30 yako isindikizweTatizo litaanzia utakapowaambia unasafirisha sh ngapi kwa kutumia hiyo 30 yako.
mie nataka wawe wananilinda nyumbani kwangu, si ni hiyo hiyo 30 kisheria inatosha pia ?Hii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .
Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
itusindikize tukiwa tunaenda lodgeMekumisi pia mamdogo. Mamdogo tuchange kila mmoja 15,000/- tukaombe escort polisi. Nasikia ni bure..!!
Haya nenda na hiyo 30k yako sentro waambie unaomba escort kama hujawapa shida familia yako kukutoa selo, chezea watu wote siyo polisi wa tanzania kama wanathubutu kuua hadi mlinzi kisa msako wa malayaHii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .
Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Pikipiki ya kingora defender mbili mbele na nyuma kwa elfu 30 utakuwa ni muendelezo wa utani kati raia na polisiHii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .
Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu unatakaa wanakijiji wakuogope Kwan una ugomvii nao!!! Au unatakaa uheshimikee tu na c kuogopekaa mkuu..[emoji23][emoji23]Anhaa natamani unieleweshe vizuri je hiyo hela wanaihesabu au hata nikibeba nguo zangu kwenye begi nikasema ni hela ila nahitaji escort nikiwadanganya nimebeba hela watakubali ?
Maana nataka nije nao kama kumi huku kijijini ili wanakijiji waniogope sasa
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] kilaa kitu CCM wameshindwa na ni mwaka wa 60 Toka uhuru.Sheria za mwaka 47 wakati elfu30 ilikuwa ni kibunda cha kwenda
Lakini nchi hii ya hovyo sana hata ku.update sheria watu wameshindwa
Wazee Wa Siku (Police) Watoe Huduma BureNdio ni bure kabisaaa
Haa Umeona Mbali SanaC Kwa hawa police wa CCM mkuu [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Sukuma NdaniNitaenda kujaribu kesho ila ikiwa nitakutwa lolote naomba ujue kuwa wewe ndiye umeniua
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mamdogo ndo nini sasa kumwaga kuku kwenye mchele wengi?itusindikize tukiwa tunaenda lodge
Asee . Wanakupakia kwenye bodaboda au wanakusindikiza na gari yao?Hii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .
Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
elfu ishirini mkuu sio 30Hii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .
Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
ukiwa unazipeleka wapiHii ipo kisheria kabisa, kama una kuanzia Tsh elfu 30 na unahofia usalama wa pesa zako basi ni ruksa kwenda kuomba escort ya polisi mpaka unapokwenda .
Ila je unao uthubutu huo kwa hawa polisi wetu, eti uende kituoni na Tsh elfu 30 uombe escort 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Nafikiri hiyo 30k ndiyo gharama ya kupewa escort ya polisi, labda km sijamwelewa mleta mada? 😄Wakati unaomba escort ya polisi kwa hiyo 30,000/- Tshs, unalipa shilingi ngapi? Au escort ni bure?