Je unajua YESU physically tayari yupo duniani?

Je unajua YESU physically tayari yupo duniani?

Yesu anaerud sio kama yule aliyekuja kama binadamu mkuu. Huyu anaekuja ni mfalme na kuja kwake ni kwa kutisha na hatakanyaga tena hii ardhi na atashukia mlima sayuni na wakati huo kabla hajaja kutatokea vita kubwa ya dunia na hiyo vita kilele chake kitakuwa kwenye uwanda wa yehoshafati. Biblia ina code nyinvi sana ukitaka kusoma kwa kuijua ina vitu vingi sana vya kutisha.
achana na dini bible is full of code ? ndugu
 
Mbona kimya kimya au alivyoondoka aliacha madeni🤪😃
swali hivi wewe hujiulizi wayahudi hawakumkubali ? wewe ni nan ajionyeshe if you live with carnal mind?
 
achana na dini bible is full of code ? ndugu
Yes ni code tupu. Ukiisoma biblia ukaaielewa maisha kwako ni marahic sana. Biblia inaelezea mahusiano makubwa kati ya roho na mwili hizi dunia mbili tofauti ukizijulia umetoboa
 
Kwa kweli nimefurahi kujua hili baada ya macho Yangu kufunguka .yupo duniani tayari ila wengi kumjua ni vigumu maana amekuja kama a blackman
Hii dhambi uliyofanya kuifuta ni rahisi tu..unapaswa kutafuta muda uombe sala ya toba
 
Yes ni code tupu. Ukiisoma biblia ukaaielewa maisha kwako ni marahic sana. Biblia inaelezea mahusiano makubwa kati ya roho na mwili hizi dunia mbili tofauti

Yes ni code tupu. Ukiisoma biblia ukaaielewa maisha kwako ni marahic sana. Biblia inaelezea mahusiano makubwa kati ya roho na mwili hizi dunia mbili tofauti ukizijulia umetoboa
Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu, kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu? Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari, anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake? “Mimi ndimi, nisemaye katika haki, mwenye nguvu wa kuokoa.” ISAYA 63.1
 
Hii dhambi uliyofanya kuifuta ni rahisi tu..unapaswa kutafuta muda uombe sala ya toba
Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu, kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu? Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari, anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake? “Mimi ndimi, nisemaye katika haki, mwenye nguvu wa kuokoa.” 63.1 .
 
Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu, kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu? Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari, anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake? “Mimi ndimi, nisemaye katika haki, mwenye nguvu wa kuokoa.” 63.1 .
Tenga muda wa kujifunza mkuu
 
Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu, kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu? Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari, anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake? “Mimi ndimi, nisemaye katika haki, mwenye nguvu wa kuokoa.” hii ni Isaya 63 .1 atakayeelewa kodi hii atajua inaeleza nini sio kila mwenye macho anaona au sikio anasikia
 
iko hivi ...code iyo ...
yakobo anawakilisha mataifa ya watu weupe .
Esau ndio Edom ..
umepata hadi hapo ivyo Isaya alishangaa sana kwa kuwa aliona kuona utukufu wa yakobo unarud kwa edom na edom ni mwafrika ngozi nyeusi
 
achana na dini bible is full of code ? ndugu
Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu, kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu? Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari, anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake? “Mimi ndimi, nisemaye katika haki, mwenye nguvu wa kuokoa.” Isaya 63 ;1
 
Yupo Tongareni nchini Kenya.

Ukifika kaunti ya Bungoma nchini Kenya uliza kwa Yesu wa Tongareni utaenda kumuona physically.
 
Back
Top Bottom