Je, unajutia ndoa yako, na kwa nini? (Do you regret your marriage, and why?)

Je, unajutia ndoa yako, na kwa nini? (Do you regret your marriage, and why?)

Sijui nitampata lini nioe.
Mana nimeshafuzu kozi zote za kuishi kwa raha kwenye ndoa.
Muhim naye awe muumin wa kuishi na rafiki mwema!
(Ila hiki kigezo cha kumtafuta asiyezaa kabsa kinanipeleka uzeen sasa)
 
Naona Pasco cassiani nae kamwaga manyanga Jimbo lipo wazi.
Wanawake wa Kikristo hawaandaliwi kusimamia wajibu wao kwenye ndoa
 
Ngoja baharia niendelee kupitia comment pole pole labda zitanishawishi nitafute sasa wakuzeeka nae
 
Back
Top Bottom