The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Ukiisoma hiyo line ktk bold japokuwa umeiandika mwenyewe unaielewa?Mkuu nani kakuambia ukiwa hauna ndoa hauna majukumu , kuna Mario mmoja yupo kwenye ndoa mbona ninamlisha yeye na mke wake na watoto wangu wawili na huyo mmoja wakwake, mimi nakataa ndoa kwa mfano hai.
Ndo maana nasema tatizo waanzilishi au watetezi wa hizi hoja ni watoto wadogo wasiojitambua,unamlisha mwanaume mwenzio na mke wake na watoto wako wewe nani?shoga au basha!