azyzy omary
JF-Expert Member
- Dec 8, 2020
- 863
- 1,293
Zaman ndoa hazikuwa pasua kichwa kama ilivi kwasasaYa zamani ilikuwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaman ndoa hazikuwa pasua kichwa kama ilivi kwasasaYa zamani ilikuwaje
Be specific usije na general statement zamani ilikua vile au hivi, kitu gani specific cha zamani kinachofanya Ndoa za sasa kuwa pasua kichwa in comparison?Zaman ndoa hazikuwa pasua kichwa kama ilivi kwasasa
Kamtafute kwenye page yake ya facebook.Weka link tumuone....
Khaa kumbe umeoa,Mimi mawazo yangu ni Yale ya kizamani, hivyo kwangu ndoa ni lazima.
Lakini ni lazima Kwa vile nipo na MTU ambaye naye anatumia mifumo ya kale.
Kwangu Maisha ni kuwa na Familia.
Ila kamwe sitokubali kuwa na familia ya kijinga na kipuuzi Kwa kisingizio cha ndoa.
Hilo kwangu halitavumilika
Napenda kufahamu kuwa wewe ulizaliwa Ndani ya Ndoa au Nje ya Ndoa au Ulizaliwa kupitia surrogate mother?
Jibu lako lazima liangukie kwenye haya machaguo matatu kwenye swali langu
Ukinijibu na mimi nitajibu
🤣🤣🤣ndio kaoaKhaa kumbe umeoa,
Jamani ee kiongozi wa agenda ya kataa ndoa "ANA MKE".
Wanawake kukimbia majukumu ya ulezi kutaka msaidizi believe 3Be specific usije na general statement zamani ilikua vile au hivi, kitu gani specific cha zamani kinachofanya Ndoa za sasa kuwa pasua kichwa in comparison?
Ndio inakufanya usioe? Khaa anyway zamani kulikua hakuna wasaidizi? Kutaka msaidizi linaathiri vipi maamuzi ya kutaka kuoa?Wanawake kukimbia majukumu ya ulezi kutaka msaidizi believe 3
Me nipo kuharibu kura tu.Lucy hautaki ndoa?
Kwenye ndoa zinaa ndio zinaongoza
GudKataa ndoa
ndoa Ni wizi
tunza Afya yako ya akili
Ni uhuru tu walionao/wanaohitaji wanawake wa sasaBe specific usije na general statement zamani ilikua vile au hivi, kitu gani specific cha zamani kinachofanya Ndoa za sasa kuwa pasua kichwa in comparison?