Utakuwa umepita mikononi mwangu wewe naamini.Aisee mimi nlikua nakereka na jambo moja tuuu yaan
SIKU YA JUMAATANO NI UGALI NYAMA MCHANA SASA ULE MDA WA CHAKULA ULE MNAAMBIWA KURUTI UELEKEO KUZIMA MOTOO
Wale jamaaa sijui walikua wanawasha moto makusudi duuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]yan ikifika jtano mzee kinanuka unakuta pori linateketea mzee
824Kj hioo[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Op gan wewe mkuuKuna ile kazi ya kufata mbolea kwa msukuma duuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]ilikua inaniboa sana japo tulikua tukirud tunapitia malimao porini kwa ajili ya mchuzi wa nyama na kupaka kwenye kipara ukinyoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Op gan wewe mkuu
Okay, ulikuwa coy gani.Mujibu 2017
TYC=2icDuh,kule uchawi sana ukizubaa mwenzio anakuwahi,yaani ni wanataka vyeo balaa nasikia kuna huyo mtu mfupi kakalia TYC mwaka wa kumi huu,akija anayemzidi lazima baada ya wiki ama siku atasepa,yeye ni kapteni miaka hapandi na hashuka,unaambiwa ni moto wa kuotea mbali
835 KJ?Ule ulikuwa ufalaa sanaa.. Niligundua style ya kudojia porini
Okay, ulikuwa coy gani.
Nilikuwa pale asee enzi hizo ila kwa kujitolea.G coy nilikua....
Nilikuwa pale asee enzi hizo ila kwa kujitolea.
Operation gani ulikua mkuu?Tuliokuwa mlale jkt tujuane
Jambo Afande! [emoji23][emoji23]2019!! [emoji3] aisee kurutu embu salimia maafande wako hapa.
Ulikuwa unasimamia Coy gan, mi nilikuwa Charlie Company ya C-Coyhii op nimewatesa sanaa... as SM
Sema vizuri kuna mkuu wa nidhamu Mr RSm ( waranti afsa) aka mteule Huyo ni Mundemba sio mwingine.Daah 821 kuna sir meja (yule anaevaa saa na kifimbo mkononi) aisee jamaa alikua anabiti sana hadi kwa masir meja wa combania…yaani kama kombania yenu haijaleta kuni hamli hadi mueke kuni na pia huchukui chakula bila kufoleni na kwenda na kwata !
OP UCHUMI WA KATIOp gani hio
Serengeti mwisho idetero
Mwaka gani mkuu😂😂😂🙆♂️ kuitafuta chai nilikua nanunaa kweli kwenda hadi embakasi wakati jiko lilee naliona aah😂Wale wa mlale jkt tujuane. Embakas na zile routes za kutafuta apetite ya chai