Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
mgambo kule, gendagenda ile bahari ya michungwa balaa...afande kazungu,lol!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh! Hii kali sana.
LOL.
Respect.
Mzalendo Yoyo, share with us . . . Ni nini hasa unakumbuka tufurahi wote?
Nilipata kusikia kwa walioenda JKT walikuwa wakitoroka na wanawake kisha wanalala pamoja bila hata kufanya MAVITUZI ni kweli?
Hivi kwa hali ya sasa, inawezekana kweli?
Duu mkuu umenifurahisha hapo kwenye bold & red. kumbe ulikuwa unanyung'unywa mara mbilimbili kwa sababu ya kuwa na familia - wadadamarafiki?!!!!Mkuu Jeshini tulikuwa tunavaa Pitshort, Unapopewa Hiyo kitu ikiwa mpya inakuwa ndefundefu ukishafua mara moja inaruka kama nini, sasa siku za kuvaa hiyo kitu wadada huwa nusu kuvazi. Siku moja nakumbuka tilikuwa na wadada marafiki, tukaenda kwemye kazi kama kawaida, kazi yenyewe ilikuwa ni kufyatua Tofali, Tofali 500 kwa siku, sasa ukiwa na Familia unafanya kazi mara mbili, manake tofali 500, Zakwako na Za mwenzako 500, Unajua ilikuwaje siku hiyo, Baada ya kumaliza hizo Tofali 1000,Ilikuwa Hoi, kwenda kulala maporini chakali, Kwenye kuoga?Mnaoga kama wote wanaume tu, Hoi.