Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha mbali sana mie niliudhuria ile miaka ya mwishoni ya themanini (1989/90) Pale kambi ya Ruvu kombania ya B kuna afande alikuwa anaitwa Nyundo. Huyu afande hatukubahatika kumuona akiwa amefurahi kila siku sura yake ili kuwa ya kazi kazi. Mwenyewe alikuwa anajiita ndio handsome wa kwao.
Nakumbuka moja ya wimbo ambao alitufundisha muda wa disco ulikuwa wa Malela.... na mwingine ulikuwa nadhani wa kishona kama sijakosea unaitwa Kule kule kwa chinoma....
Kitu kingine nakumbuka ni ufugaji wa kuku kule phase 2 pamoja na kusimamisha minazi serengeti muda wa jioni.
bora wameifutavery interesting story....JKT...BUt i wonder kama uzalendo ulifundishwa....UADILIFU KATIKA KUJENGA TAIFA NOW NI ZERO..Y???????????
ni kweli dada yangu, na sasa hivi magonjwa yalivyoshamiri ili hali tabia za watu zinazidi kuwa mbayaStory nzuri nimezisoma zote, though in a way kwa sisi mabinti naona ingekuwa tabu kidogo, kwahiyo tabia ya ufuska ya hao maafande, hivyo though I didn't go thru that..am glad I can read about it, compile stories mzalendo Mtsimbe
Kisa cha mhindi kimeniacha hoi, ;d
ni bora wameufuta na wanaonganganiza urudishwe ni vichaaaJe wadau? Kulikuwa na sababu yoyote ya msingi ya kufuta huu utaratibu wa JKT, eti magreatthinkers?