Mkuu Jeshini tulikuwa tunavaa Pitshort, Unapopewa Hiyo kitu ikiwa mpya inakuwa ndefundefu ukishafua mara moja inaruka kama nini, sasa siku za kuvaa hiyo kitu wadada huwa nusu kuvazi. Siku moja nakumbuka tilikuwa na wadada marafiki, tukaenda kwemye kazi kama kawaida, kazi yenyewe ilikuwa ni kufyatua Tofali, Tofali 500 kwa siku, sasa ukiwa na Familia unafanya kazi mara mbili, manake tofali 500, Zakwako na Za mwenzako 500, Unajua ilikuwaje siku hiyo, Baada ya kumaliza hizo Tofali 1000,Ilikuwa Hoi, kwenda kulala maporini chakali, Kwenye kuoga?Mnaoga kama wote wanaume tu, Hoi.