O'level - Airwing Sec. School ; Hapa kulikua na Afande Mwamasika, Afande Chacha, Afande Ndeki ... thanks mateso yote na nidhamu tulipata, fimbo, push-up, ukakamavu, kwata, kichurachura, kuchimba mashimo na kufukia, adhabu za kupanda ndege, kuita mvua na kunyonya mafuta ... mbona tulikoma!
A'level - Kigonsera High School; Hapa tulikua na wehu wa kutosha, Mwl.Ntandu, Second Master Mr.Mlasu, Head Master Mr.Shilimo ... Ugali, Maharage, Kuchunga ng'ombe, kilimo, Heartburn ndo usiseme. Usafr mwendo wa malori ama mandolina..
Uhuru Peak, Mt.Kilimanjaro - Hapa ndo wengi ntaacha, tulienda 30 kileleni tukafika 7 tu. In short, siku ya 3 ya safari hamna rangi tuliacha ona, mvua, theluji, baridi, uchovu na majaribu yote ya kuupima mwili na utu wa mtu i.e Higher Altitude Desease ... thx GOD at last nilishinda!
Nimatumaini yangu japo kuwa JKT ilinikosa lakini ningeiweza vilivo, na pengine ningekuwa na mengi zaidi yakuongea kama si kuwa jela kwa kumkata kichwa Afande ... teh teh