Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Mkuu,
Kwa mfumo wa sasa vyombo vote vya ulinzi na usalama vinachukua vijana wake kutoka jkt
Ukimaliza kozi ya recruit "ukuruta" miezi sita unapanda cheo unakuwa service man
Kipindi hicho cha u-serviceman ndo wanakuja vyombo mbali mbali vya ulinzi na usalama kufanya udaili kutokana na mahitaji
Polisi,mgambo,magereza,uhamiaji,tanapa,jw wapo wazi wakati wa kudaili ila TISS wanadaili serviceman "kiajabu" zaidi
Kuhusu vigezo vya uhamiaji uwe physically and mentally fit
mkuu shukrani sana kwa maelezo mazuri! mimi nina higher diploma ya logistics and transport,
malengo yangu makuu yalikuwa na kuingia uhamiaji ama TANAPA. sasa huo udahili unaofanywa kiajabu sijaelewa mkuu unamaanisha nini hasa?