Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh aseeh inabidi tuheshimiane humu mtu mwaka 70 kamaliza form six [emoji23] [emoji23]. Mimi nimeshajitoa kuwa na heshima ya hali ya JUU humu tupo na baba zetu.Kumbe wazee wengi humu JF!
Afadhali umelijua hilo!Duuh aseeh inabidi tuheshimiane humu mtu mwaka 70 kamaliza form six [emoji23] [emoji23]. Mimi nimeshajitoa kuwa na heshima ya hali ya JUU humu tupo na baba zetu.
Huyo Mwasha ni R.J Mwasha aliyekuuja kuwa headmaster Mzumbe sec au!?Du zamani sana!, Enzi hizo Baba wa taifa JKN ndio POURT, waziri mkuu ni Edward Moringe Sokoine,Gen Musuguri ndio Kinara pale juu majeshini. Kambi yangu ya ni uzalishaji mahindi JKT Mlale,Operation 'kujihami kiuchumi baada ya vita', Mkuu wa kambi ni Luteni kanali Kajembe, Meja Mandwa mkuu wa operation zote kambini, B-Coy ndio ilikuwa kombania yangu, platoon ya kwanza section ya demo ya kina Nkayamba Abeid,Nko,Solomon,Mwasha mim na kina Nyihirani, Makamanda akina Bahati, Sondora mutini kalikaka, na afande Before!, chini ya Sir major Ndaga na Lt Ndangura. Kama niliowataja wamo humu tujikumbushe jinsi tulivyohenya wakati huo. Najivunia sana kuwa katika jeshi la akiba hadi leo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Uzi huu murua kabisa, mimi operation vyama vingi 1992/1993. Nilikuwa sijui kuimba wakati wa disco. Siku afande akanigundua kwamba sijawahi kuimbisha. Akanisimamisha niimbishe tukaanza kupiga makofi ila wimbo sina tukapiga kama dk5 afande akakasirika, nikabuni wimbo nikawaambia wenzangu nikiimbisha mnajibu........ ana madoadoa.....!
Tukaanza.
Mimi: Kanga...
Wenzangu:...ana madoadoaaaaa
Fisi...
Anamadoadoaaaa....
Nikataja wanyama na ndege wengi tuuu ........mwisho nikasema
Afande.....
Wakajibu..ana madoadoaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Nilitandikwa teke na disco likaisha mapema siku hiyo.
Jeshi raha nitawaletea kisa kingine.
Umeona eeh, kabla hata sijazaliw kuna watu washaenda JKT, duuu shikamooon, stori zenu ni nzuri sanKumbe wazee wengi humu JF!
Ndo mtusome siyo kutukana mama na baba zenu.Umeona eeh, kabla hata sijazaliw kuna watu washaenda JKT, duuu shikamooon, stori zenu ni nzuri san
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duuh aseeh inabidi tuheshimiane humu mtu mwaka 70 kamaliza form six [emoji23] [emoji23]. Mimi nimeshajitoa kuwa na heshima ya hali ya JUU humu tupo na baba zetu.
Basi na wewe utakuwa mdogo wangu mama 70 hajazaliwa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
70 sio mchezo ata mama yangu hajazaliwa
Sasa mimi mwaka 1958 nafundisha na Nyerere Pugu sekondari utaniitaje?Basi na wewe utakuwa mdogo wangu mama 70 hajazaliwa.
Ila humu kuna watu wazima aiseeh heshima inatakiwa.
Mtu 70 yupo form six hapungui 68 min.
Op gan nanga wwJ.k.t msange 823kj mpo?