Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Msange JKT inTake ya pili kwa mujibu wa sheria 24th June hadi 27th september 2013 nipo hapa tayari nishamaliza chuo udom last year daaaahh kitambo kweli
 
Ila daaaahh maafande wengine wana matusi hatar,
ukibugi wanakwambia "kuruta umetomba kazi"[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
 
Nakumbuka kujongo..... Kila asubuhi lazima nipotelee msituni.... afu mchana nakuwa wa kwanza foleni ya msosi!Afande Mangi akinijazia Minyama.......
 
Msange JKT inTake ya pili kwa mujibu wa sheria 24th June hadi 27th september 2013 nipo hapa tayari nishamaliza chuo udom last year daaaahh kitambo kweli

H Coy member uko wapi now?
 
jmushi1, wakati ni ukuta na kila kitu na zama zake.

Ila kwa kweli wachache tuliobahatika tuna mengi sana ya kukumbuka kwa kuwa kila siku ilikuwa nis siku ya visa vipya kabisa na ilimfanya kila mtu awe mbunifu. Hakukuwa na mtoto wa mkubwa wala mdogo, wote ilikuwa ni kwata mtindo moja.

Utamsikia jamaa anang'aka . . . "Kuruta, nimewaambia mkae chini nyie MNA-OBEY OBEY tu, sasa mtaipata fresh" (OBEY akiwa na maana mnagoma) . . . .

"Sasa mtakula Push-Ups mpaka MTASHAA (Mtakoma) . . . Nikisema UP mnakwenda chini, na nikisema DOWN mnakwenda juu" of course wanaojua UP na DOWN ni nini wanafanya tofauti hapo ndo mtaona kazi. Atawaita na wenzake mtakula drill mpaka basi kwa kuwa MNA OBEY OBEY.

Jamaa atapiga mkwala kuwa natka uzunguke uwanjaa huu mara mbili, NIKISEMA GO TU, UWE UMESHARUDI . . . . Du, JKT, I love it and I miss it.
Ilisaidia sana kujenga nidhamu makazini kwa wale walioajiriwa baada ya kupita JKT
 
Ais
jmushi1, wakati ni ukuta na kila kitu na zama zake.

Ila kwa kweli wachache tuliobahatika tuna mengi sana ya kukumbuka kwa kuwa kila siku ilikuwa nis siku ya visa vipya kabisa na ilimfanya kila mtu awe mbunifu. Hakukuwa na mtoto wa mkubwa wala mdogo, wote ilikuwa ni kwata mtindo moja.

Utamsikia jamaa anang'aka . . . "Kuruta, nimewaambia mkae chini nyie MNA-OBEY OBEY tu, sasa mtaipata fresh" (OBEY akiwa na maana mnagoma) . . . .

"Sasa mtakula Push-Ups mpaka MTASHAA (Mtakoma) . . . Nikisema UP mnakwenda chini, na nikisema DOWN mnakwenda juu" of course wanaojua UP na DOWN ni nini wanafanya tofauti hapo ndo mtaona kazi. Atawaita na wenzake mtakula drill mpaka basi kwa kuwa MNA OBEY OBEY.

Jamaa atapiga mkwala kuwa natka uzunguke uwanjaa huu mara mbili, NIKISEMA GO TU, UWE UMESHARUDI . . . . Du, JKT, I love it and I miss it.
Aisee mkuu umesababisha nicheke Sana na kufurahi Daaa Haya Maisha tunakotoka yaani bonge ya isidingo
 
Back
Top Bottom