Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] nilikuwa nawadoji mbaka nikawa na kitambi,kuna siku sir major akaniona akasema yani kuruta unakitambi [emoji23] [emoji23] [emoji23] alimind sana ingawa kwenye madoso nilishazoea
Haaaaa dadaki sasa kwenye gwaride mwendo haraka si ulikuwa unahemea mdomo
 
St Mabina na Alex skeleton, siku hiyo Alex alipoteza wacha tupigwe doso *****, chacha alitukomesha aisee . A coy ya DEMO
 
Aaah kuna jamaa alikuwa hajawahi doji sixweek akawa anamwaga udenda tu tukamhurumia tukampeleka dispensary km anaumwa dokta akampa C3 jamaa alivyoonja radha ya usingiz alikuwa doja hatari
[emoji13] [emoji13] [emoji13] baba umenikumbusha mbalii
 
Rsm kikoti. Afande kitundu, kayange
RSM Matanda ulimkuta? Kayange ana bonge la pengo na sauti yake kubwa sana akiwa anaamrisha Parade ,"Kula mavi yaliyochemshwa huwezi umwa kipindu pindu".
 
835 Kj tupo pamoja Mgambo.

Route ya chai
Vipi unamkumbuka Private magera? Asee ilikuwa noma sana
 
842KJ MlaleSongea. Op miaka 50 ya jkt. A- Coy private Mahamud na private Matiko walikuwa ni faya.
Matiko alichezea miezi 3 kwenye mahakama ya kijeshi baada ya kutembeza doso kwa dogo mmoja hadi akazimia. Mwendo wa kukwepa ndege haukumuacha salama.
Wapi afande kitomari?
 
OP KIKWETE
832KJ
2015
C-Coy ya DEMO

St Chachandu kwataaa[emoji123]
St Angelo[emoji115]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…