Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Sio co ni oc.nipo itende.
Mimi Ndiye niliyekuwepo wakati huo. CO ni MKUU wa kikosi na ndiye aliyetangaza na OC ni mkuu wa kombania. Kikosi (kambi) inaweza kuwa na ma OC wengi kutegemeana Na idadi ya kombania lakini CO ni mmoja tu - MKUU wa kambi
 
Sisi tulishinda kwata wakasema kutakuwa na Mbuzi sijui..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukaishia kulaa dosooo ***** walahii
 
Sitasahu siku ambayo Jamaa wa kwata walirudi toma kupiga kwata wakaenda kuweka Silaha Kombania badala ya Kuzirudisha Amala.. Yani aisee ile siku ilikuwa Ndefu mnoo...mnooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] Yani kikosi kilialikanaa wale jamaa wa kwata walichakaa sijapata ona. Wengine sisi tulijua tumesalimika lakini kazi tuliyokula weee...[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Mtanzania, Umenikumbusha akina Gitorobo Gitorobo, Dunstan, Wega R.I.P, Maduma wa Eagle, Mama Msaghaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
OPERATION MIEZI SITA 1993 MAKUTUPOLA BOGI BUJOMBORA pale ndiyo nilifahamu umuhimu wa kuwa na pesa au kutoka familia za kitajiri! Baada ya kucheza na mitunduru,zabibu na nyanya likapigwa bogi kwenda kigoma wenye pesa wakapanchi tukakutana na kuchoma chokaa, kupasua mbao, palizi ya maindi nusu kilomita kwa siku, nk.Ajabu sijawahi kuulizwa popote katika harakati zangu za maisha kuhusu cheti cha Jkt?!
 
Ebana ee nikikumbuka kipindi kile nipo 835 kombania A mkuu wa kombania afande machachali.ilikua balaa
 
Wesere , boya ana mikwara yule na limwili lake..[emoji23][emoji23]

Afande Ambari naye na lisauti lake!
Ambari nilikua namkubali kinyama mishe mishe zake alitufanya kua active mda wote aliokuwepo
 
Mimi Ndiye niliyekuwepo wakati huo. CO ni MKUU wa kikosi na ndiye aliyetangaza na OC ni mkuu wa kombania. Kikosi (kambi) inaweza kuwa na ma OC wengi kutegemeana Na idadi ya kombania lakini CO ni mmoja tu - MKUU wa kambi
Ok nimekusoma nilihisi umemaanisha co ndio mkuu wa coy.
 
Gitorobo karan maduma alikuwa rsm mtaalam wakwata na saut yake.
Karani alikuwa Matonyi. Kotagadi alikuwepo mtu anaitwa Makanta na Corporal Willy, armoury Kitila R.I.P. akina Corporal Chilumba, Corporal Bahati R.I.P
 
Pale Maramba Ops Vyama vingi, karani wa kombania B alikuwa Exavery Katuli,CSM alikuwa WO2 Meshy, OC Capt Nyenza, Pl Comd alikuwa Lt Songela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…