Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 402
Mimi Ndiye niliyekuwepo wakati huo. CO ni MKUU wa kikosi na ndiye aliyetangaza na OC ni mkuu wa kombania. Kikosi (kambi) inaweza kuwa na ma OC wengi kutegemeana Na idadi ya kombania lakini CO ni mmoja tu - MKUU wa kambiSio co ni oc.nipo itende.