Week nzima mnajificha mlikua mnakula wapi, kuoga...Itakuwa walikuja wengine, sisi tulipita mwanzo upande wa JKT baada ya hapo kuwa kituo Cha ulinzi(DET).
Tulikuwa tukijificha porini kwenye magofu ya makanisa ya warundi na hakuna hata mtu anayekuja kututafuta, kule ilikuwa ukiwa mzembe utafanya kazi mpaka ukome.
Ilikuwa una risk kujificha wiki ila ukikamatwa siku moja unakuwa tayari kwa drill nzito.
Magesa huyu ndo yule alipata ajali??Jkt kanembwa 824 kj Afande CO bwegoge,
Chief instructor alikua Captain sebastian Tesha saivi ni major.
Kulikua na Luteni Mwakyobwe akahamishiwa mtabila afande mpenda kuruti ni major sasa uyu jamaa.
Private Marwa asee pt instructor
Marehemu magesa mboje mzee wa doso jamaa alikua anajipiga doso mweyewe anaruka uchura kilometer nne kutoka nduta hadi maini gate.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo kama ulivogongwa wewe mfyuu😏Uligongwa sana?
Yaap alipata ajali ya gari.Magesa huyu ndo yule alipata ajali??
Aiseeee,,,,kwanza sipat picha sura ilivyokushuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo 835KJ Mgambo, baada ya doso la siku nzima wazalendo tulikuwa hangani tunapiga soga, matusi na story za hapa na pale, kumbe kuna maafande wanasikiliza kwa nje, mdudu sijui kinachoendelea nimejilaza kitanda cha kwanza juu kutoka lango la hanga, kumbe kuna afande kaingia kimya kimya akanishika upara kisha akapiga kibao kisicho na maumivu.. Kurutu si nikajua ni mdudu mwenzangu ananiletea za kuleta, nikaropoka "Usishike kichwa tu kisha unaacha, njoo ushike na MBOO"
Kilichofuata Service Boys mnajua [emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]
Mwamba hajastaafu ,kuna siku yule mzee alikua kwake na familia kwa bahati mbaya Chalii Oscar akawa anapita pale usawa wa ile kota ya ngutanyi 'mwamba aliisimamisha familia yake kijeshi adi mke na watoto ili amsalimu afandeCOHarafu nyie mlipendelewa usafi mkaongoza ile siku ya passing off the square [emoji23] mlikua na yule Simba wa Yuda (mzee wa shambani) achana na Ngutanyi fala sana nyie D-Coy.
Ngutanyi mzee wa IMEEEEEEELEWEEEKAAAAAAAMwamba hajastaafu ,kuna siku yule mzee alikua kwake na familia kwa bahati mbaya Chalii Oscar akawa anapita pale usawa wa ile kota ya ngutanyi 'mwamba aliisimamisha familia yake kijeshi adi mke na watoto ili amsalimu afandeCO
Koplo ... Ambali anatisha mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]821'825,Cu hapa ukisema tu Mundeba Semfukwe Ambari Mp mbeshi Bayuu na wengine inaeleweka kabisa .
Nyundo huyo....Eti yule lieutenant wa kike ndo kawa mpambe wa president
HhahahahUnamkaangia MUNGU MAYAI by KITEREJA
Nilikuwa namtani sana na nilikuwa sina cha kumfanya,kanizidi karibu kila kituMatron MDING'II
Yule mama nimemuangalia sana yani... Mnoo nikasema as if nishawahi muona mahaliNyundo huyo....Eti yule lieutenant wa kike ndo kawa mpambe wa president
Kitereja mishavuu kama panyaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unamkaangia MUNGU MAYAI by KITEREJA
Kapteni Mbenje si MberenjeMkuu ni 835 KJ sio 832 KJ,
Op ya miaka 50 ya Muungano hapo hapo Mgambo, enzo hizo mzabuni ni Kimbinyiko,
CO ni Meja kanole, captain ni Mberenje, Luteni Masalu RSM muuya, afande mkorofi alikuwa kashoza, Sam na Tungu (MP)
Tumevuna sana mahindi
Tumekula sana dose
Tumenyeshewa sana mvua
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app