Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Itakuwa walikuja wengine, sisi tulipita mwanzo upande wa JKT baada ya hapo kuwa kituo Cha ulinzi(DET).

Tulikuwa tukijificha porini kwenye magofu ya makanisa ya warundi na hakuna hata mtu anayekuja kututafuta, kule ilikuwa ukiwa mzembe utafanya kazi mpaka ukome.

Ilikuwa una risk kujificha wiki ila ukikamatwa siku moja unakuwa tayari kwa drill nzito.
Week nzima mnajificha mlikua mnakula wapi, kuoga...
 
Jkt kanembwa 824 kj Afande CO bwegoge,
Chief instructor alikua Captain sebastian Tesha saivi ni major.
Kulikua na Luteni Mwakyobwe akahamishiwa mtabila afande mpenda kuruti ni major sasa uyu jamaa.
Private Marwa asee pt instructor
Marehemu magesa mboje mzee wa doso jamaa alikua anajipiga doso mweyewe anaruka uchura kilometer nne kutoka nduta hadi maini gate.[emoji23][emoji23][emoji23]
Magesa huyu ndo yule alipata ajali??
 
Saluti kwa masoldier wote wanaozijua hizi sehemu
Mlima nguruwe
Idetero
Kwa Balali (yule gavana wa BOT)
Airport
Kawawa
Njia ya kwenda mgororo
Kitundu hall
Mwamunyange recreation

Bila kumsahau
Afande pilato (Mhenga)
Captain nkya

From kambi ya ubaridini....yaani ilikuwa ikifika night unavaa nguo zote zilizopo kwenye tranka na asubuhi maafande wanawakomoa hamrudi bwenin (angani) so mnakimbia kuifuata chai na manguo yote mwilini.

Kunakipindi kama snow inashuka maafande wanaiita "nyahenge" kwa kihehe.

Kuna siku baridi kali alfajiri kuna kuruti akajificha jalalani akalala usingizi wa pono. Kimbembe muda wa usafi watu kuchoma jalala alitoka mtu kama mzimu akazua kataharuki.

Vile vyoo vya mabanzi ambavyo hakuna kitu kinachozuia wa shimo moja asimuone mwingine. Aliwahi kuja demu akanikuta nimechutama pale akashusha kombati akashusha mzigo hakujisafisha akavaa kombati akaondoka alinifunza kuivua aibu pale kambini.

Kuna siku tunaenda kumwagilia miparachichi. Wakati tunashuka mteremko wa kutoka kambini kuingia mafinga mjini gari IVECCO ilikimbia hadi tukaacha kuimba kwa morali cha ajabu dereva afande akatoa kichwa akawa anasema kumamayo nimesema imbeni kwa morali na hapo one week before kuna ajali ilitokea ikaaua maafande.

I mic good moment una bust wali unaficha kwenye kofia ya komboti.

Kuvaa kama afande kisha mnacheki pamoja game ya EPL pale kitundu hall.

Shall out kwa maafande wangu wote mtakaopita hapa.
 
Enzi zangu pale Maramba jkt(838),Nlikua nadodge mpaka maafande wakanipa u ST wao wenyewe.

Kuna siku siwezi kusahau aisee,Nlikula shumbwela mpaka nikawa naichukia kambi,Hiyo siku nakumbuka nliiba zile gwanda za ma services man ili nkacheki game ya arsenal bahati mbaya asa wakanigundua kua ni kuruti.Aloo..[emoji22] nlikula maovyo ovyo mpaka nikadata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo 835KJ Mgambo, baada ya doso la siku nzima wazalendo tulikuwa hangani tunapiga soga, matusi na story za hapa na pale, kumbe kuna maafande wanasikiliza kwa nje, mdudu sijui kinachoendelea nimejilaza kitanda cha kwanza juu kutoka lango la hanga, kumbe kuna afande kaingia kimya kimya akanishika upara kisha akapiga kibao kisicho na maumivu.. Kurutu si nikajua ni mdudu mwenzangu ananiletea za kuleta, nikaropoka "Usishike kichwa tu kisha unaacha, njoo ushike na MBOO"

Kilichofuata Service Boys mnajua [emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]
Aiseeee,,,,kwanza sipat picha sura ilivyokushuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Harafu nyie mlipendelewa usafi mkaongoza ile siku ya passing off the square [emoji23] mlikua na yule Simba wa Yuda (mzee wa shambani) achana na Ngutanyi fala sana nyie D-Coy.
Mwamba hajastaafu ,kuna siku yule mzee alikua kwake na familia kwa bahati mbaya Chalii Oscar akawa anapita pale usawa wa ile kota ya ngutanyi 'mwamba aliisimamisha familia yake kijeshi adi mke na watoto ili amsalimu afandeCO
 
Kupiga mzinga
Unatembea na gogo kubwa begani ukifika mahali unaambiwa uchuchumae upige mzinga na kuruka nalo kichurachura
 
Ruvu, 90/91. E coy.
Nakumbuka kuna watu walikuwa wanalinda daraja la ruvu. Walimpiga mwizi, alieenda kuwaibia hifadhi ya chakula chao, wakamfunga kamba, asubuhi akawa amefariki. Sijui kesi yao iliishaje masikini.
 
Mwamba hajastaafu ,kuna siku yule mzee alikua kwake na familia kwa bahati mbaya Chalii Oscar akawa anapita pale usawa wa ile kota ya ngutanyi 'mwamba aliisimamisha familia yake kijeshi adi mke na watoto ili amsalimu afandeCO
Ngutanyi mzee wa IMEEEEEEELEWEEEKAAAAAAA
 
Mkuu ni 835 KJ sio 832 KJ,

Op ya miaka 50 ya Muungano hapo hapo Mgambo, enzo hizo mzabuni ni Kimbinyiko,
CO ni Meja kanole, captain ni Mberenje, Luteni Masalu RSM muuya, afande mkorofi alikuwa kashoza, Sam na Tungu (MP)

Tumevuna sana mahindi
Tumekula sana dose
Tumenyeshewa sana mvua

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kapteni Mbenje si Mberenje
 
Back
Top Bottom