Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Hawakutumwa MP kweli kutoka makao makuu kuwafuata Mafinga ?
 
Hawakutumwa MP kweli kutoka makao makuu kuwafuata Mafinga ?
Hawakutumwa mkuu, in fact sisi watu karibia 25 tuliotoroka tuliwasaidia wengine waliobaki (kumbuka tulikuwa vijana zaidi ya 100 au 150 kutoka makambi mbalimbali ya JKT, ikiwemo na wa Makutupora, ambao wote tulimwagwa hapo Makutupora). Baada ya sisi kutoroka huku nyuma walipopiga roll call wakagundua hatupo. Hii iliwastua sana maana miaka ile waliokuwa wanatoroka JKT ni wale wanaojitolea na si wale wa mujibu wa sheria kama sisi. Kumbuka kwamba yale mateso yao ya kutukomoa ni issues za hawa maafande wa rank za chini, sasa taarifa zilipomfikia mkuu wa kambi na Mgt yake wakapaniki sana kwani kule HQ wakawachimba mkwala watoe majibu tumeenda wapi vijana wengi namna hiyo? Kwa hiyo ikawa mshike mshike kambi nzima, na wale wengine waliobaki ikabidi mazoezi yote yasimame. Eventually kanali Mlay wa Mafinga ndiye akatoa ripoti HQ kwamba vijana wake wako Mafinga na Amewapokea wote na angependa waendelee pale pale Mafinga,na ndivyo ilivyokuwa.
 
Kama CO wenu aliingilia hilo suala basi soo lenu liliisha kiutamu sana
 
[emoji1][emoji1][emoji1]
 

Mchakamchaka saa 10 za usiku toka Bulombora kambini hadi Mwakizega na siku niliyotaka kuliwa na mamba ziwani ( Ziwa Tanganyika).
 
Uwanja wa Damu..Dah..Kunja ngumi usiweke bata..
Mabio Itaga,Inonelwa,Yombo Mbola..
 
Hahahaha

Nilikuwa Rwamkoma miaka 10 iliyopita
 
Kuna mwana JF yeyote aliyesoma Kigurunyembe Seconadary 1981-1984? Ningependa sana kukumbuka enzi zetu za shule, wakati Head Master akiwa Mr. Magere na Second Master Mr. Betelo!!!
Francis wambura magere
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana, hasa huo wimbo wa Zaina Zaina…..kweli maisha hayarudi nyuma…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…