usinikumbushe mambo ya mraba pale makutu, ilikuwa ni balaa.Mi niliamua kufanya kila niambiwacho kwa 100%.
Hakuna kutegea, kujificha wala nini.
Na siku nyingine nikimaliza mraba wangu mapema namsaidia yeyote yule.
Kila tabu au adha niliifanya kuwa fursa na raha.
Hiyo kanuni ninaitumia huku uraiani pia hakuna kulialia.
Yale mabio ya kabla ya chakula cha mchana, Una njaa ile kinoma, halafu mnapewa route, na kukwepa kwake labda uahirishe kulaHabari za asubuhi,
Ni siku nyingine tena Mungu anatupa kibali Cha kuiona siku ya Leo
Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza hapo ju je ni kitu Gani kilikuwa kinakukela kipindi upe jeshini (mujibu wa sheria au uzalendo)
Kiujumla mimi nilikuwa nakeleka sana na mabio yani unakimbia kuelekea kuifuata chai [emoji1787][emoji1787] ila kwa muda mwingine nilipendelea changer sana nikiwa jeshini
Wewe je?
Hahaha makutu so poa pale miraba ya zabibuπ€£π€£usinikumbushe mambo ya mraba pale makutu, ilikuwa ni balaa.
Yale mabio ya kabla ya chakula cha mchana, Una njaa ile kinoma, halafu mnapewa route, na kukwepa kwake labda uahirishe kula
Huyu anaongelea hii ya watoto.Unazungumzia JKT ya wakongwe au hii ya vodafasta?
Huyu anaongelea hii ya watoto.
JKT ilikua miaka ya 88 kurudi chini.
Enzi za afande Sanga, afande Mlay afande Mtono. Meja Jenerali Mkisi na tabia zake za ajabu.
Kwenye mbuzi alikua anakula Figo tuh. Sasa niambie Figo za mbuzi ngapi anaweza kushiba Jenerali?
JKT ya zile kambi nane.
Oljoro
Mgambo
Makutpora
Msange
Bulombora
Mafinga
Ruvu
Mlale.
Enzi zile kila kitu unakikuta kule kuanzia
Bukta
Green vest
Kombati
Buti
Mess tin Tena mbili
Blankerti
Yaani wewe unakwenda na mwili tu.
Binafsi nilipita JKT miaka hiyo... 833 KJ OLJORO hiyoooooo. NIKICHOGUNDUA NI KWAMBA JKT NI AINA FULANI YA CHEAP LABOUR ILIYOJIFICHA KWENYE MWAMVULI WA UZALENDO.
OVA.
Kazi ya watu kumi wenzako wote wakidoji ukabakia mwenye(kwa uwoga wako kukwepa msala) utaifanya wewe pekeyakoMi niliamua kufanya kila niambiwacho kwa 100%.
Hakuna kutegea, kujificha wala nini.
Na siku nyingine nikimaliza mraba wangu mapema namsaidia yeyote yule.
Kila tabu au adha niliifanya kuwa fursa na raha.
Hiyo kanuni ninaitumia huku uraiani pia hakuna kulialia.
ππππDisco. Kusimama mbele za watu unaanza kuimbisha nyimbo(sio za kisiasa) niliona michosho. Mengine ya kawaida tu
I see hatari tupu, bilashaka utakuwa unakumbuka vizuri "Shimo la Mungu"Binafsi nilipita JKT miaka hiyo... 833 KJ OLJORO hiyoooooo. NILICHOGUNDUA NI KWAMBA JKT NI AINA FULANI YA CHEAP LABOUR ILIYOJIFICHA KWENYE MWAMVULI WA UZALENDO.
OVA.
HahahahaaMabio jamaniii mamaee kuna ilee route za jioni mmetoka kula zilikuwa zinakera sana...!! Toka kambini pitia Rest house mpaka kwa Msange na kurudi...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Zambeee mamaaa... Kilimaaa mbeee kilimaaa kilimaaa mbeeee kilimaaa mbeee...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hakuna Nyimbo tamu kama Chenja dunianiii...Disco. Kusimama mbele za watu unaanza kuimbisha nyimbo(sio za kisiasa) niliona michosho. Mengine ya kawaida tu
Watu na reasoning zao bana, Kama inakujakuja vile!Binafsi nilipita JKT miaka hiyo... 833 KJ OLJORO hiyoooooo. NILICHOGUNDUA NI KWAMBA JKT NI AINA FULANI YA CHEAP LABOUR ILIYOJIFICHA KWENYE MWAMVULI WA UZALENDO.
OVA.
Mamaee hiyo lazima wanunee ππππNilikuwa napenda kila kitu, yaan ile kuanzia mabio hadi doso la usiku, danger coy,, kuna siku afande katupigisha doso saa 1 had saa 5, anataka kutumwaga platoon number mbili section number tano tukaanza kuimba
"afande afande tunaomba doso afande" [emoji23][emoji23][emoji23]
Serengeti walitukana kinoma,, Serengeti anakutukana unabak unashangaa tuu,,
Af unamskia coplo,,,, babaa yanafarakana[emoji23][emoji23][emoji23]