Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Kuamka saa 9 [emoji3064]

hapo kombania umetoka may b saa 6 coz mmechelewa kuhesabiwa[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

but jeshi ni kuzuri sana kama huna kiburi nimepamiss sana[emoji13][emoji13]

nimemiss mihogo[emoji2][emoji2] yaan tulikua yunalazimisha kwenda tu route flan kisa tu kule wanauzaga mihogo na kachumbari tamu sana so hapo baada ya majukumu unajibless kama hivo

na vitumbua hasa vya matron afande and usiombe maafande wawe wanakupenda i mean upendo tu kama kuruti utaenjoi Saaana[emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]


832KJ all the wayyyyyyy
Haha Ruvu moja hiyo. Ngoja wale wazee wa kusema eti "Ruvu kambi ya bata tu" waje.

Hawajui hizo bata walikuwa wanakula wagonjwa wa kudumu tu. Wengine wote madoso kama kawa.
 
Aisee mimi nlikua nakereka na jambo moja tuuu yaan

SIKU YA JUMAATANO NI UGALI NYAMA MCHANA SASA ULE MDA WA CHAKULA ULE MNAAMBIWA KURUTI UELEKEO KUZIMA MOTOO

Wale jamaaa sijui walikua wanawasha moto makusudi duuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]yan ikifika jtano mzee kinanuka unakuta pori linateketea mzee

824Kj hioo[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

🤣🤣🤣
 
Haha Ruvu moja hiyo. Ngoja wale wazee wa kusema eti "Ruvu kambi ya bata tu" waje.

Hawajui hizo bata walikuwa wanakula wagonjwa wa kudumu tu. Wengine wote madoso kama kawa.

[emoji81][emoji81][emoji81] hamna kazi nyingi sana pia madoso sio mengi labda wewe uwe jeuri
 
Binafsi nilipita JKT miaka hiyo... 833 KJ OLJORO hiyoooooo. NILICHOGUNDUA NI KWAMBA JKT NI AINA FULANI YA CHEAP LABOUR ILIYOJIFICHA KWENYE MWAMVULI WA UZALENDO.
OVA.
Mkuu utakua umelima sana pale embakas,au umevuna mahindi hapo na kule shamba dunia...Anyways kuna raha yake pia,m nimepita hizi za voda faster za miezi mitatu.
 
Mi nilikuwa nakeleka tu na maovyoovyo, a.k.a Nua na kubeba mistima ya umeme ( Log) . Saa zile naitwa mdudu.
 
Mkuu hili shamba dunia liko maeneo gani?? mimi nilikuwa nimesahau IDETERO, kuna mkuu hapo juu amenikumbusha.
Halafu kuna CHANGARAWE (Kuna lijengo kubwaaa sijui ni hoteli, tulisota sana kipindi linajengwa
op magufuli,,op mayatima pale panaitwa recreation....beba Sana tofali Toka mlima nguruwe ...
 
Back
Top Bottom