Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha Ruvu moja hiyo. Ngoja wale wazee wa kusema eti "Ruvu kambi ya bata tu" waje.Kuamka saa 9 [emoji3064]
hapo kombania umetoka may b saa 6 coz mmechelewa kuhesabiwa[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
but jeshi ni kuzuri sana kama huna kiburi nimepamiss sana[emoji13][emoji13]
nimemiss mihogo[emoji2][emoji2] yaan tulikua yunalazimisha kwenda tu route flan kisa tu kule wanauzaga mihogo na kachumbari tamu sana so hapo baada ya majukumu unajibless kama hivo
na vitumbua hasa vya matron afande and usiombe maafande wawe wanakupenda i mean upendo tu kama kuruti utaenjoi Saaana[emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
832KJ all the wayyyyyyy
Aisee mimi nlikua nakereka na jambo moja tuuu yaan
SIKU YA JUMAATANO NI UGALI NYAMA MCHANA SASA ULE MDA WA CHAKULA ULE MNAAMBIWA KURUTI UELEKEO KUZIMA MOTOO
Wale jamaaa sijui walikua wanawasha moto makusudi duuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]yan ikifika jtano mzee kinanuka unakuta pori linateketea mzee
824Kj hioo[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kubeba Dunia
Duh
Wanatoa nafasi lini hili jeshi letu la wanainchi??
Haha Ruvu moja hiyo. Ngoja wale wazee wa kusema eti "Ruvu kambi ya bata tu" waje.
Hawajui hizo bata walikuwa wanakula wagonjwa wa kudumu tu. Wengine wote madoso kama kawa.
Mkuu utakua umelima sana pale embakas,au umevuna mahindi hapo na kule shamba dunia...Anyways kuna raha yake pia,m nimepita hizi za voda faster za miezi mitatu.Binafsi nilipita JKT miaka hiyo... 833 KJ OLJORO hiyoooooo. NILICHOGUNDUA NI KWAMBA JKT NI AINA FULANI YA CHEAP LABOUR ILIYOJIFICHA KWENYE MWAMVULI WA UZALENDO.
OVA.
Kugombania nyama
Wewe ulikuwa alfa coy au bravo,, kwaya za parokia ya mt 832[emoji23][emoji23] waulize kuruti wa danger na afande wao mwamasangula[emoji81][emoji81][emoji81] hamna kazi nyingi sana pia madoso sio mengi labda wewe uwe jeuri
idetero kubwa na ndogo....pale hapafai baridi Kali mpaka nyani anamkataa mtoto wake *****..mlima nguruwe, shamba maalum, wapi tena?? Nimeshapasahau jamani!!!!! Yale mashamba ya kule mbaaaali panaitwaje mkuu??
op magufuli,,op mayatima pale panaitwa recreation....beba Sana tofali Toka mlima nguruwe ...Mkuu hili shamba dunia liko maeneo gani?? mimi nilikuwa nimesahau IDETERO, kuna mkuu hapo juu amenikumbusha.
Halafu kuna CHANGARAWE (Kuna lijengo kubwaaa sijui ni hoteli, tulisota sana kipindi linajengwa
unamgegeda Nani wakati mkunyati hausimami...mnabaki kutizamana Kama kondooIvi mlikuwa mna gegedua mademu kweli huko ?/
aah tuishie hapa Majeshi cjui ya CDF mabeyo yasije nisaka mie🌚Wewe ulikuwa alfa coy au bravo,, kwaya za parokia ya mt 832[emoji23][emoji23] waulize kuruti wa danger na afande wao mwamasangula
Sent using Jamii Forums mobile app