Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa daah nilikuwaga Danger Coy aise. Afande Mwamasangula alikuwaga na vituko na ule Msemo wake anaoupendaga utasikia "vua suruali watu wale". [emoji1787][emoji1787]Wewe ulikuwa alfa coy au bravo,, kwaya za parokia ya mt 832[emoji23][emoji23] waulize kuruti wa danger na afande wao mwamasangula
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unajua ww NI op magufuli AKA op ya mayatima gonga like tujuane
Kunyoa kila wakati vinyweleo vikianza kidogo tu kichwan unaambiwa una rasta duuh[emoji849]
841 kikosi cha jeshi [emoji3577] [emoji41]op magufuli,,op mayatima pale panaitwa recreation....beba Sana tofali Toka mlima nguruwe ...
Maskani "Jamaica moja", 821 kj,,,.Kupakawa majivu usoni na kubeba gogo la Kuni kama RPG begani alaf nazungushwa nalo mchana kutwa zinakua zinapigwa filimbi kila baada ya hatua 5 napiga goti
Hiyo inanihusu Mimi doja sugu nyie wengine mtulie kidogo
Hahaaa pa kibabe labda uniambie 821 kj mkuu. Pengine pote pa kawaida tu huko 841 kj cha ajabu sana labda baridi tu.841 kikosi cha jeshi [emoji3577] [emoji41]
Fyatua sana tofali kule mlima nguruwe *****
Ushawahi fika kwenye ile nyumba waliomjengea cdf Mwamunyange ile njia kama unaenda idetero? Tulichoma sana kuku wa jeshi kule.
Sema kwa ngazi ya mujibu/kujitolea 841 pa kibabe sana,.. Wengine wote wakina Karma mliangushia kozi tuu [emoji3]
Bulombora labda kilimo tu ambacho hata 841 kuna mashamba dunia hayo yanatisha [emoji3]Hahaaa pa kibabe labda uniambie 821 kj mkuu. Pengine pote pa kawaida tu huko 841 kj cha ajabu sana labda baridi tu.
Maana nasikia hiyo ndiyo kambi pekee ambayo kuruta wa mujibu na uzalendo wanapiga course na combat za service men/girls badala ya pretty short na green vest. Huko nilisikia adhabu kubwa kuliko zote kwa kuruta ni kumwagiwa maji ya baridi.
2019!! [emoji3] aisee kurutu embu salimia maafande wako hapa.Mabio ya asubuhi yalikuwa yanakera kinoma Yani ukizingatia na hali ya baridi ya Mafinga [emoji23][emoji23] enzi hizo 2019 841 KJ Operation Makao Makuu Dodoma
Kanembwa hiyooAisee mimi nlikua nakereka na jambo moja tuuu yaan
SIKU YA JUMAATANO NI UGALI NYAMA MCHANA SASA ULE MDA WA CHAKULA ULE MNAAMBIWA KURUTI UELEKEO KUZIMA MOTOO
Wale jamaaa sijui walikua wanawasha moto makusudi duuh[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]yan ikifika jtano mzee kinanuka unakuta pori linateketea mzee
824Kj hioo[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kuimba usiku...Habari za asubuhi,
Ni siku nyingine tena Mungu anatupa kibali Cha kuiona siku ya Leo
Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza hapo ju je ni kitu Gani kilikuwa kinakukela kipindi upe jeshini (mujibu wa sheria au uzalendo)
Kiujumla mimi nilikuwa nakeleka sana na mabio yani unakimbia kuelekea kuifuata chai [emoji1787][emoji1787] ila kwa muda mwingine nilipendelea changer sana nikiwa jeshini
Wewe je?
CHAI YA MOTO KOMBE LA BATI! Kunywa haraka siwezi!!
Anajua kwata hadi anajua tenaHahaaa daah nilikuwaga Danger Coy aise. Afande Mwamasangula alikuwaga na vituko na ule Msemo wake anaoupendaga utasikia "vua suruali watu wale". [emoji1787][emoji1787]
Sasa nakunywaje mkuu wakati naogopa mdomo usiungue na nikisubiri ipoe muda hauningoji.WE ACHA TU MKUUKwa hiyo ulikuwa hunywi?
Sasa nakunywaje mkuu wakati naogopa mdomo usiungue na nikisubiri ipoe muda hauningoji.WE ACHA TU MKUU
Nilimaliza na zawadi juu.Hahaha pole sana mkuu kikubwa ulimaliza salama tu🙏🙏🙏
Daaah nimemmiss sana maisha ya 841kj, kipindi hicho unakutana na Captain Moshi hakuna, ukizubaa ukamkuta mesi mda wa chai basi mnakimbia Hadi uwanja wa damu mnakuja kunywa chai.
Kitu pekee nlichokuwa cpend ni kukesha usiku Hadi saa 6 7 na kuamshwa saa 9 na Afande Madoso.
Ila kwenye mazoezi na mabio nlikuwa mstari wa mbele sana na ni michezo nayo ipenda