LUKAMA
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,117
- 1,343
Huyo jamaa na mkumbuka walikuwa wana muita mmalekani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaa huko kukata kiuno na kutamka neno SHWEEAA umenifanya nicheke kama fala, haya majanga yalinikuta nilikuwa bado sijaanza kusumbuliwa na miguu nilianza kusumbuliwa mkesha ushaisha. . Yule afande kibakuli siyo kabisa.
Unakumbuka siku ile ya mkesha kuna boya mambo yalimshinda akatoroka, jamaa alikuwa anatoka mbio risasi ina nafuu, walimkosa. Kurudi Kibakuli kakasirika yupo na timu yake, tukakunja ngumi. Jamaa wanapita kukagua mikono na miguu ukiwa unategemea unachezea buti au fimbo.
Nilikuwa kwenye crew moja hatari sana wa wazee wa kulobulobu walikuwa ma chalii fulani wa chuga, jamaica walikuwa mitu mbili wana vuta bangi sana, iveco mzee wakubeba mahingi ya kombania nzima, huyu jamaa kunasiku alibebe mahindi ya kombani yote unajua tupo wapi iyo, genda genda, hadi afande akampa kuponi mbili za kula ubwabwa kwa kiminyiko
Basi ilikuwa burudani kwenye mabio ya saa 9 nilikuwa na yapenda
Chelume chelume ya kishiko na mzee wa wakufanya mchanganuo = rushwa ili mle tano usiku wa wamanane, mzee wa kutoa au amtoi
Haina kwele ya kafufi anatubiga maovo ovo ya kufa mtu afu kukikalibia kukucha anasema geukia upande wa kushoto, upande wakulia, peki na tumbo afu anawaacha, wadau walikuwa wanasema ukiona ivo ujue anaondoka na dawili ila siku waiona
Kuna kurutu mmoja alikuwa nanga ni balaa unajua anaitwa nani, mjaluo uyo, alikuwa a dada fulani mweusi, kibonge kiasi chake alikuwa hawezi kwata basi maafande walikuwa kituo cha kupumnzikia walikuwa wanamchapa viboko vya supu dati utamwonea huruma walivo ona haelekei kabisa wa kamwacha
Afende dafi mmburu ivi alikuwa anahasila ni balaa alikuwa anapiga makofi na ngumi kwa maafande wenzake, kunasiku amepeleka mahabusu pale main get si kaanza kumpa vitasa MP moja ambaye alikuwa naogopwa kikosi kizima unajua anaitwa nani, ndunguru alikua amekomaa afande huyu hadi sura
Kwa leo inatosha nipo job
Sent using Jamii Forums mobile app