Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

832 KJ bhana duh ni atar...............doso la kufa mtu,bustani kwa sana, afande Best na mabio yake ya mchana yalikera sana, ila nilikuwa napenda kuwah sana kule officers mess ili nkachukue kijogooo....hizi lugha ni walopta huko tu ndo wanaelewa.
Yaani wewe ni mimi kabisa.
Jeshini sifa ni kijogoo alfajiri kabla ya mchaka mchaka mtu umeshiba tayari
 
Alafu tukienda bustani kitengo changu ni churaaa. Maana sikuwaga na ndoo kabisa na kila siku nachezea doso la maana kwa ukosefu wa ndoo
 
Wazalendo;

Moja ya sehemu ya maisha yangu ambayo kamwe sitasahu ni kupitia JKT.

Nilijiunga na JKT Ruvu na baadaye nikaenda Service Buhemba Lwamkoma.

Sitosahau kamwe mafunzo ya ukakamavu, kwata, mchaka mchaka, disko na vitimbi mbalimbali kati ya Makuruta na Maafande. Nilikuwa Combania E.

Moja ya vituko vya kukumbuka ni simulizi kutoka- Operation OKOA, kulikuwa na huyu jamaa alikuwa ni mweusi sana anaitwa afande Lucas, badala ya kuwaaamsha kuruta kwa filimbi, alikuwa anaingia na kuvuta Sigara. Kuruta inatakiwa ukisikia harufu ya Sigara uamke na kufoleni nje. Usipotoka in time unakula mijeledi.

Basi siku moja Kuruta wakapanga wamfanyizie na wakatoka mapema nje na kujificha huku ndani kwenye Bweni wakiyaviringisha mablanketi mithili ya mtu amelala. Afande alipomaliza sigara hakuna aliyetoka akajua siku hiyo kuruta wamegoma kuamka na kuanza kuchapa viboko yale mablanketi yaliyovingirishwa. Alishtukia kaanza kushambuliwa yeye na kuruta toka nje ambao walikuwa na fimbo kibao mpaka akakoma.

Kisha kuruta wakafoleni nje. Nakumbuka Mkuu wa Kombania alipata habari na kulikuwa na drill si kawaida na mpaka push ups za kunusa mkojo katika nyasi walizokuwa wanakojoa kuruta usiku. Hata hivyo yule afande naye alikoma kwani hakurudia mchezo wa kuwaamsha watu kwa sigara.

Kwa waliokuwa Ruvu Operation Okoa:

Na miss

  • Ugali na korosho mnapojongo kambini
  • Mihogo ya Vibwende kwa Babu
  • Wali na Maembe
  • Uji wa Mestin ya Jeshi
  • Bukta na Green Vest
  • Kuokota kuni
  • Bustani
  • Michezo
  • Disco
... Ama Johnnnnn ambaaaa ambaaa John, amba Johnnn wa Tanzania. Arusha Mbali, Arusha Mbali, tukumbukane kwa Barua nk...

Nakumbuka pia siku moja sikuimbisha disco vizuri na kipindi kile 1985 bado kulikuwa kuna ubaguzi wa rangi Africa Kusini, basi afande akanipiga mkwala na kuniambia.

"Kuruta nitakutemea mate yenye sumu usoni upofuke macho, na sijui utatibiwa wapi kwani mipaka yote Afrika Kusini imefungwa. . . (Kana kwamba hakukuwa na hospitali ya kutibu mate ya sumu hapa bongo"

Jamani mliokosa JKT, mlikosa mengi, japo tulipata tabu lakini tulijifunza mengi katika maisha.


Je, wewe unakumbuka nini?
Kipindi hicho Kanali Mbuge alikuwa CO, mnaa atar yan KZ za kufa mtu kwa maafande.......saiv ndo mkuu wa JKT
 
Makutupora hapo nakumbuka CO alitoa ahadi ya matofali kijijini huko kama 3000+, nikakimbilia upande wa ubao nikijua ni kitengo asee walinikuta angani wakajua nimekufa
 
Dogo huku-miss kitu:

I hate that d@mn thing JKT. Dakika za mwisho nilikuwa Ruvu JKT. Unavaa nguo zinazofanana na mtoto wa waziri au Brigedia wa jeshi na wewe unaisi mko kwenye ligi moja. Lakini ngoja Jeshi limalizike uone wenzako wako wapi na wewe huko wapi?
Tttttttx

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa miaka ya nyuma kidogo 1982/83 Kule Mlale JKT Songea.
Ishu pale ilikuwa ni muda wa kuamka ile alfajiri saa 9 kwenda route match ambapo wasichana walitakiwa kwenda kombania kwa wavulana bigula linapolia.
Kwa kuwa muda ni usiku sana wasichana tulikuwa tunakwenda kulala kule kombania kwa hiyo unapofika ni kuvamia tu kitanda bila kujua aliyelala hapo ni nani na ikizingatiwa ni usiku baada ya kumaliza kuimba na hanga/bweni halina taa. Na tuliweza kulala na wavulana hadi hiyo alfajiri lakini hakuna aliyeweza kugeuka wala kushtuka.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuepo Ruvu Op flani hv kuna huyo afande anaitwa Kahonda So poa yaani akiwakuta shambani hata kama ni wawili kazi aliyoipanga lazima iishe,
Mpaka ikafika muda mkiona gari lake kwa mbali mnapita migazini hao kurudi kambini.Mwingine ni afande Mariwa mtu poa sana yaani ila hatakagi ujinga kwenye kazi,ukipiga kazi kwa kujituma unakula zako tano mapemaa
LONG LIVE 833 KJ[emoji123]

832 kj Ruvu
 
832 KJ bhana duh ni atar...............doso la kufa mtu,bustani kwa sana, afande Best na mabio yake ya mchana yalikera sana, ila nilikuwa napenda kuwah sana kule officers mess ili nkachukue kijogooo....hizi lugha ni walopta huko tu ndo wanaelewa.

Intake ipi ulkua maiki
 
Wazalendo;

Moja ya sehemu ya maisha yangu ambayo kamwe sitasahu ni kupitia JKT.

Nilijiunga na JKT Ruvu na baadaye nikaenda Service Buhemba Lwamkoma.

Sitosahau kamwe mafunzo ya ukakamavu, kwata, mchaka mchaka, disko na vitimbi mbalimbali kati ya Makuruta na Maafande. Nilikuwa Combania E.

Moja ya vituko vya kukumbuka ni simulizi kutoka- Operation OKOA, kulikuwa na huyu jamaa alikuwa ni mweusi sana anaitwa afande Lucas, badala ya kuwaaamsha kuruta kwa filimbi, alikuwa anaingia na kuvuta Sigara. Kuruta inatakiwa ukisikia harufu ya Sigara uamke na kufoleni nje. Usipotoka in time unakula mijeledi.

Basi siku moja Kuruta wakapanga wamfanyizie na wakatoka mapema nje na kujificha huku ndani kwenye Bweni wakiyaviringisha mablanketi mithili ya mtu amelala. Afande alipomaliza sigara hakuna aliyetoka akajua siku hiyo kuruta wamegoma kuamka na kuanza kuchapa viboko yale mablanketi yaliyovingirishwa. Alishtukia kaanza kushambuliwa yeye na kuruta toka nje ambao walikuwa na fimbo kibao mpaka akakoma.

Kisha kuruta wakafoleni nje. Nakumbuka Mkuu wa Kombania alipata habari na kulikuwa na drill si kawaida na mpaka push ups za kunusa mkojo katika nyasi walizokuwa wanakojoa kuruta usiku. Hata hivyo yule afande naye alikoma kwani hakurudia mchezo wa kuwaamsha watu kwa sigara.

Kwa waliokuwa Ruvu Operation Okoa:

Na miss

  • Ugali na korosho mnapojongo kambini
  • Mihogo ya Vibwende kwa Babu
  • Wali na Maembe
  • Uji wa Mestin ya Jeshi
  • Bukta na Green Vest
  • Kuokota kuni
  • Bustani
  • Michezo
  • Disco
... Ama Johnnnnn ambaaaa ambaaa John, amba Johnnn wa Tanzania. Arusha Mbali, Arusha Mbali, tukumbukane kwa Barua nk...

Nakumbuka pia siku moja sikuimbisha disco vizuri na kipindi kile 1985 bado kulikuwa kuna ubaguzi wa rangi Africa Kusini, basi afande akanipiga mkwala na kuniambia.

"Kuruta nitakutemea mate yenye sumu usoni upofuke macho, na sijui utatibiwa wapi kwani mipaka yote Afrika Kusini imefungwa. . . (Kana kwamba hakukuwa na hospitali ya kutibu mate ya sumu hapa bongo"

Jamani mliokosa JKT, mlikosa mengi, japo tulipata tabu lakini tulijifunza mengi katika maisha.


Je, wewe unakumbuka nini?
Duh mm nlisoma enzi hakuna jkt ila nlikuwa natamani sana kwenda huko hata kwa kufosi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha mbali Sana mkuu, ile ni kambi yangu mwaka 2015. Napenda Sana maisha ya jeshi
Ilikuwa miaka ya nyuma kidogo 1982/83 Kule Mlale JKT Songea.
Ishu pale ilikuwa ni muda wa kuamka ile alfajiri saa 9 kwenda route match ambapo wasichana walitakiwa kwenda kombania kwa wavulana bigula linapolia.
Kwa kuwa muda ni usiku sana wasichana tulikuwa tunakwenda kulala kule kombania kwa hiyo unapofika ni kuvamia tu kitanda bila kujua aliyelala hapo ni nani na ikizingatiwa ni usiku baada ya kumaliza kuimba na hanga/bweni halina taa. Na tuliweza kulala na wavulana hadi hiyo alfajiri lakini hakuna aliyeweza kugeuka wala kushtuka.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazalendo;

Moja ya sehemu ya maisha yangu ambayo kamwe sitasahu ni kupitia JKT.

Nilijiunga na JKT Ruvu na baadaye nikaenda Service Buhemba Lwamkoma.

Sitosahau kamwe mafunzo ya ukakamavu, kwata, mchaka mchaka, disko na vitimbi mbalimbali kati ya Makuruta na Maafande. Nilikuwa Combania E.

Moja ya vituko vya kukumbuka ni simulizi kutoka- Operation OKOA, kulikuwa na huyu jamaa alikuwa ni mweusi sana anaitwa afande Lucas, badala ya kuwaaamsha kuruta kwa filimbi, alikuwa anaingia na kuvuta Sigara. Kuruta inatakiwa ukisikia harufu ya Sigara uamke na kufoleni nje. Usipotoka in time unakula mijeledi.

Basi siku moja Kuruta wakapanga wamfanyizie na wakatoka mapema nje na kujificha huku ndani kwenye Bweni wakiyaviringisha mablanketi mithili ya mtu amelala. Afande alipomaliza sigara hakuna aliyetoka akajua siku hiyo kuruta wamegoma kuamka na kuanza kuchapa viboko yale mablanketi yaliyovingirishwa. Alishtukia kaanza kushambuliwa yeye na kuruta toka nje ambao walikuwa na fimbo kibao mpaka akakoma.

Kisha kuruta wakafoleni nje. Nakumbuka Mkuu wa Kombania alipata habari na kulikuwa na drill si kawaida na mpaka push ups za kunusa mkojo katika nyasi walizokuwa wanakojoa kuruta usiku. Hata hivyo yule afande naye alikoma kwani hakurudia mchezo wa kuwaamsha watu kwa sigara.

Kwa waliokuwa Ruvu Operation Okoa:

Na miss

  • Ugali na korosho mnapojongo kambini
  • Mihogo ya Vibwende kwa Babu
  • Wali na Maembe
  • Uji wa Mestin ya Jeshi
  • Bukta na Green Vest
  • Kuokota kuni
  • Bustani
  • Michezo
  • Disco
... Ama Johnnnnn ambaaaa ambaaa John, amba Johnnn wa Tanzania. Arusha Mbali, Arusha Mbali, tukumbukane kwa Barua nk...

Nakumbuka pia siku moja sikuimbisha disco vizuri na kipindi kile 1985 bado kulikuwa kuna ubaguzi wa rangi Africa Kusini, basi afande akanipiga mkwala na kuniambia.

"Kuruta nitakutemea mate yenye sumu usoni upofuke macho, na sijui utatibiwa wapi kwani mipaka yote Afrika Kusini imefungwa. . . (Kana kwamba hakukuwa na hospitali ya kutibu mate ya sumu hapa bongo"

Jamani mliokosa JKT, mlikosa mengi, japo tulipata tabu lakini tulijifunza mengi katika maisha.


Je, wewe unakumbuka nini?
Nawatafuta ndugu zangu wa Operesheni Kambarage Ruvu JKT mwaka 1990/91.
 
Nawatafuta ndugu zangu wa Operesheni Kambarage Ruvu JKT mwaka 1990/91.

Operesheni Kambarage 1990/91, 832KJ :CO-- Luteni Kanal Urio
F-Coy
OC-Luteni Mnyomole
Mteule - Sajini meja Sanga
Wakufunzi: Sajini Taji Juma Rajabu
Sajini Taji Omari Saidi
Sajini Liundi
Matron Sajini Maingu
Koplo .....Kupaza.....( jamaa hana shida na Makuruta, yeye ugomvi na Maafande wake kila siku kupigwa Adhabu ya Ulinzi tu)
Lance Corp. Kaumbu
Vumilia wa Kujitolea : Rocky na Batuli
 
Back
Top Bottom