Hapo 835KJ Mgambo, baada ya doso la siku nzima wazalendo tulikuwa hangani tunapiga soga, matusi na story za hapa na pale, kumbe kuna maafande wanasikiliza kwa nje, mdudu sijui kinachoendelea nimejilaza kitanda cha kwanza juu kutoka lango la hanga, kumbe kuna afande kaingia kimya kimya akanishika upara kisha akapiga kibao kisicho na maumivu.. Kurutu si nikajua ni mdudu mwenzangu ananiletea za kuleta, nikaropoka "Usishike kichwa tu kisha unaacha, njoo ushike na MBOO"
Kilichofuata Service Boys mnajua [emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]