Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

OP Kikwete MGAMBO Jk 832 daah dada wili si akamchoma private kuwa anamtaka alafu alikuwa mtoto wa Mkubwa balaa yani yule Private alipiga magoti mbele ya Kurutu 2000 anamuomba yule binti msamaha alafu demu mwenyewe Mbovuu kinomaa Maafande walitukana balaa yani achaa tuu.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamani baada ya lile tukio Tulikulaaa kazi yanii mateso yale hapanaa ikawa kama Course ya Kadet mamaee week 6 zilikuwa Chungu mnoo kuna siku tulilazwa kwenye Mvua inanyeshaa dadekii kesho yake nikasema wakirudia tena natorokaa yanii napiga mguu kwa mguu mpaka niipate lami...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ilaa baadae nikaja kuwa doja balaa wakagawa vitengo picha linaanza nikakimbilia Upishiii...baadae nikawa nadoji msituni tu sieleweki nipo wapi then nikajiunga Ngoma Coy kwa wazalendo nilikuwa nalala kuanzia asubuhi mpaka jionii naamka kulaa tuu. Nilirudi jeshi shavu hilooo mpaka nikatamani kubaki yani wakanipa na 150k ya nauli enzi hizo za JK mambo safii.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Dem Lenyew lilkua Jeusi Bayaaa manina zake,...En sku ya Mvua Dahh...Asubuhi yake tukaenda uwanja wa damu hatari yani, kuna dem alkua pembeni yangu..Alkua ananuka mikojo balaa [emoji3][emoji3]
 
[emoji16][emoji16]labda alidhania ingekuwa kitonga! mkesha wa kesho yake tulikuwa na yule jamaa anaitwa kipele, ule mkesha ulikuwa na vilio vya kila aina usiku mzima tifu!
D mlikuwa na afande wenu yule alikuwa kama ananyoa kipara aliwahi kunipiga konzi kidogo nipoteze fahamu, dah[emoji28][emoji28]!
Kipele [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mweusi ,full kupga watu makofi....mkuu wew ulkua A coy
 
Nipo hapa B coy ya demo OP Kikwete- CO Maj Kanole, kule Maj James, luten Mpume, Luten Lwaga , Luten Karinga , Chenja za MP Paul mzee wa Anita,afande mataly,copro mayai,
Wew jamaa tulkua kombania moja,naweza Kia nakukumbuka....mimi ndo yule doja niliwalaza sa 8 zamu ya afande Bruno [emoji3][emoji3]
 
rikiboy wee lazima nitakuwa nakujua maana nilidoj Sana porini kule kwenye kisima na Hadi kule bwawani nilidoji, nilidoji Sana asubuhi kule nyuma ya D coy kuwasha Moto , asubuhi naamkia pale, nikadoji Kwemye Ngoma kwa afande Mbuge, tukawa tunaombia kule mesi.Kna demu alikuwa wa C coy anasauti nyororo alikuwa anatuimbisha,jina alikuwa Anita au happy .

Noma Sana .Yule demu aliyemfanya private apige goti kule uwanja wa damu mbovu Sana , libonge ila baba yake Maj general, hapo ndo mziki ulipoanzia.... Na yule anasimulia sisi pushapu unamkumbuka?
Dahh wew jamaa tulkua tunawasha moto nyuma kule kwenye vyoo vya C coy...Damn it asee dahh am speechless kwa kweli..Alkuwepo jamaa fulan wa mbeya af mshabik wa chelsea mfupi hvi maneno mengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] # I miss those moments asee
 
[emoji16][emoji16]labda alidhania ingekuwa kitonga! mkesha wa kesho yake tulikuwa na yule jamaa anaitwa kipele, ule mkesha ulikuwa na vilio vya kila aina usiku mzima tifu!
D mlikuwa na afande wenu yule alikuwa kama ananyoa kipara aliwahi kunipiga konzi kidogo nipoteze fahamu, dah[emoji28][emoji28]!
Itoshe kusema kipele sio mtu mzuri. Nilikuwa na tabia ya kuingia mstari wa watu wa E coy wakati wa chakula ili niwahi kula halaf nkalale kabla ya doso maana danger ilikuwa ya demo. Sasa siku kipele kaninasa dogo wa denja niko Eagle nimetulia. kwanzaa alinshtukia tu maana muonekano wangu ulikuwa lazima utaona sio wa kombania hiyo.
Basi niseme tu kipele ni mtu mbad sana kwa yaliyonikuta.
 
Itoshe kusema kipele sio mtu mzuri. Nilikuwa na tabia ya kuingia mstari wa watu wa E coy wakati wa chakula ili niwahi kula halaf nkalale kabla ya doso maana danger ilikuwa ya demo. Sasa siku kipele kaninasa dogo wa denja niko Eagle nimetulia. kwanzaa alinshtukia tu maana muonekano wangu ulikuwa lazima utaona sio wa kombania hiyo.
Basi niseme tu kipele ni mtu mbad sana kwa yaliyonikuta.
Pole sana mkuu sipati picha kazi uliyokula[emoji23][emoji23][emoji23]. Yule mwamba alitunyanyasa sana, nakumbuka tulikuwa na huyo mwana alikuwa fundi wa kubast, yule mwamba alikuwa pro kwenye hiyo harakati na shambani alikuwa nadra kuonekana, kipe alikuwa anamlia timing tu na yule jamaa hakuna kitu alikuwa anachukia kama kubast zamu yake, kuna siku alimkamata vizuri anabast, yule jamaa aliambiwa ale mpaka ashibe kabisa tani yake[emoji23], shuruba aliyopata kutoka kwa huyo katili hakuna mtu alitamani kubast tena hasa zamu ya kipele, nilijikuta tu nikila mkate mmoja nashiba kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yani ikiwa zamu yake hata wazo la kubast haliji!!
 
Muujibu,

Nilikuwa C COY, hapo danger namkumbuka yule afande mzee wa mikwara alikuwa akipita kwetu anatuambia lazima au kurutu wa5, pia hapo danger namkumbuka volunteer mmoja alikuwa anaitwa BENZEMA mzeee wa bebebeeeeeeee mnaitikia Benzemaaaaa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kule kisimani noma sana mzee... pale danger tumewasha moto kinoama kipindi kile unaona kombania yako inakula kazii wewe umetulia tu dadekii... tulibeba kigodoro tukapeleka kule juu kwenye mashamba ambayo kuna Vifutu kule tukawa tunatumia na kasimu flani kuchat... yule manzi alituponza sana

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlikua mnachat na simu? Kweli mlishindikana lol.
 
Dem Lenyew lilkua Jeusi Bayaaa manina zake,...En sku ya Mvua Dahh...Asubuhi yake tukaenda uwanja wa damu hatari yani, kuna dem alkua pembeni yangu..Alkua ananuka mikojo balaa [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah jamani lol
 
Pole sana mkuu sipati picha kazi uliyokula[emoji23][emoji23][emoji23]. Yule mwamba alitunyanyasa sana, nakumbuka tulikuwa na huyo mwana alikuwa fundi wa kubast, yule mwamba alikuwa pro kwenye hiyo harakati na shambani alikuwa nadra kuonekana, kipe alikuwa anamlia timing tu na yule jamaa hakuna kitu alikuwa anachukia kama kubast zamu yake, kuna siku alimkamata vizuri anabast, yule jamaa aliambiwa ale mpaka ashibe kabisa tani yake[emoji23], shuruba aliyopata kutoka kwa huyo katili hakuna mtu alitamani kubast tena hasa zamu ya kipele, nilijikuta tu nikila mkate mmoja nashiba kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yani ikiwa zamu yake hata wazo la kubast haliji!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] khaaaah mbavu zinauma hapa lol.
 
Back
Top Bottom