Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

Mkuu xir jyerphy vp kwa wale tunaopenda kua makomandoo. Maana hayo mazoezi jinsi ulivyoyataja naona kama ni chai maharage kwangu. Je sisi ambao ni tagi mbavu na tuliokulia mazingira ya kick boxing tunaupendeleo kwenda ukomandoo au ndio ukionesha Gamba la degree huchukuliwi tena ukomandoo.
 
Mkuu xir jyerphy vp kwa wale tunaopenda kua makomandoo. Maana hayo mazoezi jinsi ulivyoyataja naona kama ni chai maharage kwangu. Je sisi ambao ni tagi mbavu na tuliokulia mazingira ya kick boxing tunaupendeleo kwenda ukomandoo au ndio ukionesha Gamba la degree huchukuliwi tena ukomandoo.


Ukomando unaweza chukua bila kujali elimu yako; kuna jamaa/afande tulikua nae pale mafunzoni alikuwa komando na uluteni juu...
ukishamaliza kozi zote kwa wewe mwenye degree (ukapata nyota zako mbili), unatuma maombi kwa mkuu wa kikosi chako ya kuomba kusoma kozi ya ukomando (98 sangasanga), ukikubaliwa unaenda kupiga hiyo kozi utapata nusu bawa, alkadhalika bawa zima kama hautakata tamaa...

aseee ogopa sana hao watu, ogopa kabisa, yani hawa watu wapo kama guys from somewhere else not our universe,
NB ukomando unalipiwa mshahara mwingine ukiachilia mbali cheo chako
 
Dah kwel nimekupata ipasavyo,respect kwako alama ya mkasi n cheo gan? Na nyota mblli?
mi niko nchi za watu huwa ni marufuku maswala yanahusu jeshi kujadiliwa hadhalani pia binafsi kuhusu jeshi am top ranking so i know wat am talking soldiers dont contribute any thing with this mere civilian they no nothing how to keep secret
 
Njoo upikwe kaka,acha woga karibu sana huku.....
acheni unanga huo eti mpaka hapo mtu anauliza ni siri gani iliyotolewa haya sio mambo ya kudiscus mbele ya foregners mnaweka mfumo wenu wa mafunzo wa acha wapate kazi kuutafuta msiwalaisishie kila kita uraia huo
 
mi niko nchi za watu huwa ni marufuku maswala yanahusu jeshi kujadiliwa hadhalani pia binafsi kuhusu jeshi am top ranking so i know wat am talking soldiers dont contribute any thing with this mere civilian they no nothing how to keep secret
gen parton...
kama ni hivo basi lots of secrets have already leaked yet...
*huku mitaani kwetu CD za mafunzo ya ukomando zinauzwa kama njugu, yani kila kitu kinachofundishwa kule kipo hasahasa kwenye vikwazo, singe na kombat karet....
*Hizo za mafunzo ya jkt ndio mpaka kwenye mabanda ya TV huku uchochoroni zinaoneshwa.*mwezi wa 7 TBC walirusha matukio muhimu katika mafunzo ya jkt OP. 50 yrs of jkt
 
Last edited by a moderator:
acheni unanga huo eti mpaka hapo mtu anauliza ni siri gani iliyotolewa haya sio mambo ya kudiscus mbele ya foregners mnaweka mfumo wenu wa mafunzo wa acha wapate kazi kuutafuta msiwalaisishie kila kita uraia huo
gen parton...
Believe me, masomo ya darasani ambayo tulikuwa tunafundishwa tulikuwa tunatumia mtaala wa marekani na uswisi, sasa kuna siri kweli hapa...
walikujaga waandishi wa habari wa bbc na walipewa info zote kuhusu mafunzo yetu tena na viongozi, hapa kuna siri kweli
acha siri za undani haziwezi mfikia hata kanali, ni wanajeshi wachache sana wenye hizo siri.
.
Acha nikushangaze,, alikuja kanali fulana mwenye cheo kikubwa sana jwtz, cha ajabu hata yeye alikuwa hajui mafunzo yetu yalikuwa yaishe lini alifanya approximation tu....
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa mwongo hata sidhani kama kweli ni mjd

Ukiangalia profile yake unakutana na kitu cha ulinzi jamii.... teteteteeee,mara kaajiriwa na serikali na anadisclose mshahara wake, mara uarabuni, yanj ubabaishaji mwingi aseer.... lol
 
Thanks kwa info zenu, bt iv ishu ya wizarani inatakiwa mapema uandike jina then chance zikitoka wanachukua idadi yao au adi zitangazwe ndo mchakato unaanza? Msaada pls
 
Ukiangalia profile yake unakutana na kitu cha ulinzi jamii.... teteteteeee,mara kaajiriwa na serikali na anadisclose mshahara wake, mara uarabuni, yanj ubabaishaji mwingi aseer.... lol

Huyo jamaa sijui ana lake jambo, ukiingia You Tube Utaona Clips za videos kibao za Mafunzo ya wanajeshi wa Marekani, hususan Marine Corps na Training officers wao wakiwa wanahojiwa seuzi sisi na hicho unachotusaidia kudadavua xir jyerphy, Video nyingi miongoni mwake ni hizo hapo chini:-
https://www.youtube.com/watch?v=-1g3F810DWo
https://www.youtube.com/watch?v=QrrV30gnt7g
https://www.youtube.com/watch?v=vPg2Kf-jYeA
https://www.youtube.com/watch?v=PN_us-YBMZM
https://www.youtube.com/watch?v=uUSsiV7nJnk

Na nyingine kibao
 
Huyo jamaa sijui ana lake jambo, ukiingia You Tube Utaona Clips za videos kibao za Mafunzo ya wanajeshi wa Marekani, hususan Marine Corps na Training officers wao wakiwa wanahojiwa seuzi sisi na hicho unachotusaidia kudadavua xir jyerphy, Video nyingi miongoni mwake ni hizo hapo chini:-
https://www.youtube.com/watch?v=-1g3F810DWo
https://www.youtube.com/watch?v=QrrV30gnt7g
https://www.youtube.com/watch?v=vPg2Kf-jYeA
https://www.youtube.com/watch?v=PN_us-YBMZM
https://www.youtube.com/watch?v=uUSsiV7nJnk

Na nyingine kibao


Kama kungekuwa na uwezekano wa kukubondea like zaidi ya moja, ningekupa thumb up mara buku...

Kama us wanatoa mpaka video za recruit wa jeshi (sio national service), tena kupitia u tube, kunaubaya gani sasa wa kusema kuwa kule jkt wananyoa mapara, wanalima, wanafanya phys training, wanaenda mchakamchaka na route match, wanaimba, jinsi ya kuingia nk nk.......

Ndo maana nakupenda jamii forum, where we dare to speak openly....
 
Hihihihi... kawaida tu vuvuleza
ulipitaka kule enzi zako ama?
Najutia kupoteza mwaka mzima kule 832 KJ Mgambo/Operation Vyama vingi.
Hakuna chochote nilichofaidika zaidi ya kuupoteza mwaka wangu kule bila kitu chochote cha maana zaidi ya kukutana na marafiki wapya. Period!
Nililimishwa kama Valmet. Nilichuma machungwa kama ngedere. Nilifyeka nyasi kutumia jembe!
All in all it was a year lost. Labda kwa wengine mlifaidika ama mtaendelea kufaidika na JKT. Lakini to me personally hakuna cha maana nilichokiona huko. Ni waste of tax payers' money.
Samahani kama wengine mtakwazika
 
Najutia kupoteza mwaka mzima kule 832 KJ Mgambo/Operation Vyama vingi.
Hakuna chochote nilichofaidika zaidi ya kuupoteza mwaka wangu kule bila kitu chochote cha maana zaidi ya kukutana na marafiki wapya. Period!
Nililimishwa kama Valmet. Nilichuma machungwa kama ngedere. Nilifyeka nyasi kutumia jembe!
All in all it was a year lost. Labda kwa wengine mlifaidika ama mtaendelea kufaidika na JKT. Lakini to me personally hakuna cha maana nilichokiona huko. Ni waste of tax payers' money.
Samahani kama wengine mtakwazika


Kumbe senior...!!
Jambo afande vuvuzela..
ndio maana nikasema jkt ya sasa sio kama ile ya zamani,,
lots of ammendments zimefanyika,, tena sikuhizi wanapokea watu wengi distribution ya kazi inakuwa fair, yani unajihisi kabisa kuwa unajenga taifa
 
Mkasi na nyota mbili mkuu ni luteni jenerali,
Kaka donlucchese na xir jyerphy
kuhusu vyeo ingawa mimi ni Bonge la Raia ila navijua kimtindo coz nafuatilia haya mambo, Kimsingi hakuna Cheo cha Mkasi na Nyota2, ila kuna (navitaja vya juu juu:-
1. Bibi na Bwana(Meja) na Nyota 2- Kanali
2. Bibi na Bwana(Meja) na nyota 3- Brigedia Jenerali
3. Bibi na Bwana(Meja) na Mkasi - Meja Jenerali
4. Bibi na Bwana(Meja) Mkasi na nyota Moja - Luteni Jenerali
5. Bibi na Bwana(Meja) ,Mkasi na Nyota Mbili - Jenerali.

Nawasilisha.
 
Last edited by a moderator:
Kaka donlucchese na xir jyerphy
kuhusu vyeo ingawa mimi ni Bonge la Raia ila navijua kimtindo coz nafuatilia haya mambo, Kimsingi hakuna Cheo cha Mkasi na Nyota2, ila kuna (navitaja vya juu juu:-
1. Bibi na Bwana(Meja) na Nyota 2- Kanali
2. Bibi na Bwana(Meja) na nyota 3- Brigedia Jenerali
3. Bibi na Bwana(Meja) na Mkasi - Meja Jenerali
4. Bibi na Bwana(Meja) Mkasi na nyota Moja - Luteni Jenerali
5. Bibi na Bwana(Meja) ,Mkasi na Nyota Mbili - Jenerali.

Nawasilisha.
Dela umetisha mkuu...
we ni hatareee sana...
hizi mambo za mikasi mikasi, minyota, bb+bwana nk nk huwa inasumbua sana, hata baadhi ya wakufunzi huwa wanachanganya mafile hapo
 
Last edited by a moderator:
Wanaosema mkuu hyo unayosema n sir waangalie startv now wanaonesha marudio juu ya mafunzo ya kivita


Yap yap...
nimekusoma mkuu...
yule jamaa ni mbabaishaji tu..
hana lolote zaidi ya wivu wa maendeleo usio na tija
 
Back
Top Bottom