Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vyemaSikuwa na cheo kwahiyo sikuona manufaa yoyote
Sijawahi kuwa na cheo chochote kileJe ulipo kua huko shuleni ama hapo ulipo umeshawahi kuwa na cheo gani?
Na ulikua unapata faida gani?
Maana wengine walikuaga viongozi lakini walikua hawajui nini chakufanya
Embu sema ulikua na cheo gani pia na faida ulokua ukiipata
Hongera yakoPrimary na secondary nilikua na cheo cha mpenzi wake monitor
Chuo nilikuwa na cheo cha mpenzi wa makamo wa rais
Sisi wazee wa gola ngoja tukae pembeni kwanza.Je ulipo kua huko shuleni ama hapo ulipo umeshawahi kuwa na cheo gani?
Na ulikua unapata faida gani?
Maana wengine walikuaga viongozi lakini walikua hawajui nini chakufanya
Embu sema ulikua na cheo gani pia na faida ulokua ukiipata
😁😁😁Nilikuwa nawanyima namba wanaochelewaa huku masela nikiwawekeaa zao
🤔Nilikuwa nawanyima namba wanaochelewaa huku masela nikiwawekeaa zao
cheo chako ni adm hongeraPrimary na secondary nilikua na cheo cha mpenzi wake monitor
Chuo nilikuwa na cheo cha mpenzi wa makamo wa rais
sio mbayaSikuwa na cheo kwahiyo sikuona manufaa yoyote
Vyuo vingi makamo wa Rais ni mwanamke. !!!!!Primary na secondary nilikua na cheo cha mpenzi wake monitor
Chuo nilikuwa na cheo cha mpenzi wa makamo wa rais
Vyuo vingi...sio vyoteVyuo vingi makamo wa Rais ni mwanamke. !!!!!
duh ulikua na mpango gan huko hom au ndo mabo yaleSekondary nilikuwa accademic prefect sasa kulikuwa mashindano ya u miss. Bahati nzuir nikawa kwenye jopo la majaji
Basi kukawa na bint mmoja wa form one few hours before shindano nikapishana nae sehem nikamwambia nitakufanya uwe miss
Nakweli akawa but nkamwambia aje home jioni....
Kwa sasa ana watoto 4Sekondary nilikuwa accademic prefect sasa kulikuwa mashindano ya u miss. Bahati nzuir nikawa kwenye jopo la majaji
Basi kukawa na bint mmoja wa form one few hours before shindano nikapishana nae sehem nikamwambia nitakufanya uwe miss
Nakweli akawa but nkamwambia aje home jioni....
😁Vyuo vingi...sio vyote
Chuo chetu ilikuwa vice versa
Nakumbuka wakati nipo sekondari nilikuwa na cheo cha uwaziri mkuu wa ulinzi.Je ulipo kua huko shuleni ama hapo ulipo umeshawahi kuwa na cheo gani?
Na ulikua unapata faida gani?
Maana wengine walikuaga viongozi lakini walikua hawajui nini chakufanya
Embu sema ulikua na cheo gani pia na faida ulokua ukiipata