Je unakumbuka ulipokua shule ulikua na cheo gani? Na faida ya hicho cheo ni ipi?

Je unakumbuka ulipokua shule ulikua na cheo gani? Na faida ya hicho cheo ni ipi?

Nilikua Table Leader Mnyengaji mzuri sana.

Faida:
Masera wangu wa misuli mirefu na mie tulipata chakula cha kutosha kwa wakati sahihi.

Hasara:
Sikuwahi kupata wala kuwa na demu olevel, ule mnyengo niliokuwa nawapelekea watoto wa kike ilipelekea wao kunigwaya sana. Matozi nao walipata tabu sana kwenye meza yangu
 
hicho ni kibali ulichonacho toka kwa Mungu
Ninadhani hivo mkuu!! Niliwahi pita mpka jkt huko!!! Ni mwendo wa uongoz tuu!!!

Mpka sasa ofisin!! ...ninakauongoz hiv!!

Lakin kwa uzoefu wangu ...ili uwe mtam katika uongoz usiwe mkuda/mnaa ... Kweny utetez uwepo kimtindo....halafu ili wasikuzoee sana uwe utabilik sometime mtu akizingua unamkataa anachezea adhabu hata kama ni best!!! Hapo utadumu[emoji23]
 
Ninadhani hivo mkuu!! Niliwahi pita mpka jkt huko!!! Ni mwendo wa uongoz tuu!!!

Mpka sasa ofisin!! ...ninakauongoz hiv!!

Lakin kwa uzoefu wangu ...ili uwe mtam katika uongoz usiwe mkuda/mnaa ... Kweny utetez uwepo kimtindo....halafu ili wasikuzoee sana uwe utabilik sometime mtu akizingua unamkataa anachezea adhabu hata kama ni best!!! Hapo utadumu[emoji23]
nakubali kwa hayo
 
O level nilikuwa HP kutokupenda kwangu kuongea kulifany uongoz huo kuwa mbovu , A level nilikuwa sijichangan San lakin nikaforcewa ni monitor
Instort uongozi si uwezi lakini huwa naforcewa Sana cjui kwanini,
 
Dah let me share!

Primary nilikua monistress na monitor wangu alikua mbabe huyoo!kazi Ilikua ni kukusanya madaftari na kupeleka ofisini mazitoo🙄kuna siku tulikula stick kisa darasa halikufanyiwa usafi na wenye zamu so tukaitwa monitor na monitress tukala fimbo za kutosha tu, tulivorudi uwii darasa walijuta, Monitor alienda kuchukua fimbo akawatembezea darasa zima eti wanapiga kelele kumbe hasira za kupigwa na ticha na sijui kwanini monitor alikua anaruhusiwa kugawa stick jamani😀😀

O level- nilikua kiongozi wa ulinzi na usalama sasa kuna siku tuko bwenini hivi usiku tukasikia mayowe watu wanapiga kelele moto kutoka nje kweli kwenye switch mojawapo ya umeme kunawaka moto duh watu wakakimbia mbali nakumbuka nikatoka mbio hadi sehemu ya main switch nikazima! Ikawa Bahati moto haukuendelea aisee nilipongezwa kwa kitendo cha kishujaa na nikaongezewa muhula mwingine wa uongozi !faida ilikua ni kudoji mchakamchaka asubuhi(nilikua siupendi)😛, pia kuna favors flani nyingi dah.

A level-nilikua dom leader! Rafiki zangu walinionea sana nikipanga zamu ya usafi hawafanyi hadi mbembelezane dah.
 
O level nilikuwa HP kutokupenda kwangu kuongea kulifany uongoz huo kuwa mbovu , A level nilikuwa sijichangan San lakin nikaforcewa ni monitor
Instort uongozi si uwezi lakini huwa naforcewa Sana cjui kwanini,
wengine huwa wanaangalia appearance
Halafu wengine huwa wanatoa uongozi ili ubadilike tabia ulokua nayo
 
Dah let me share!

Primary nilikua monistress na monitor wangu alikua mbabe huyoo!kazi Ilikua ni kukusanya madaftari na kupeleka ofisini mazitoo🙄kuna siku tulikula stick kisa darasa halikufanyiwa usafi na wenye zamu so tukaitwa monitor na monitress tukala fimbo za kutosha tu, tulivorudi uwii darasa walijuta, Monitor alienda kuchukua fimbo akawatembezea darasa zima eti wanapiga kelele kumbe hasira za kupigwa na ticha na sijui kwanini monitor alikua anaruhusiwa kugawa stick jamani😀😀

O level- nilikua kiongozi wa ulinzi na usalama sasa kuna siku tuko bwenini hivi usiku tukasikia mayowe watu wanapiga kelele moto kutoka nje kweli kwenye switch mojawapo ya umeme kunawaka moto duh watu wakakimbia mbali nakumbuka nikatoka mbio hadi sehemu ya main switch nikazima! Ikawa Bahati moto haukuendelea aisee nilipongezwa kwa kitendo cha kishujaa na nikaongezewa muhula mwingine wa uongozi !faida ilikua ni kudoji mchakamchaka asubuhi(nilikua siupendi)😛, pia kuna favors flani nyingi dah.

A level-nilikua dom leader! Rafiki zangu walinionea sana nikipanga zamu ya usafi hawafanyi hadi mbembelezane dah.
ni baadhi ya changamoto
 
Food prefect/ kiongozi wa chakula
1. Nilikuwa nakula kwa wakat
2. Nilikuwa nasave chakula cha usiku nikiamka kusoma
3. Nilipata mke kupitia cheo hicho na tuna watoto wawili
4. Kilinifanya nijifunze kidhungu maana nilihitajika kujieleza infront of mass
5. Nilipata marafiki wengi kupitia food


Hasara
1. Nilikuwa baada ya break time lazma nilale sababu ya uji
2. Nilichukiwa sana na wazembe wasiotaka kusomba maji au kuni kwenye zamu zao
3. Nilijiona mwalimu kunipelekea kuwa mnoko
umesoma moshi?
 
Mimi nilkua chair person wa class, ila nilkua kama sipo vile....Badae wakanivua uongozi sababu nilkua sina msaada nao.
 
Shule yenyewe nilikuwa naingia saa 4 asubuhi.hicho cheo nitakipata saa ngapi[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom