Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuliendaje wewe na makamo wa rais..Primary na secondary nilikua na cheo cha mpenzi wake monitor
Chuo nilikuwa na cheo cha mpenzi wa makamo wa rais
ahaaa hongeraaaa lakini ulikua hushtukiwiNakumbuka wakati nipo sekondari nilikuwa na cheo cha uwaziri mkuu wa ulinzi.
Basi ikawa nikichelewa nafika karibia na shule then najifanya nakamata wanaochelewa kumbe na mimi natafuta upenyo niende zangu,nilienjoy sana kile cheo aisee
Hata kidogo mkuu,ilikuwa ngumu sana kwa sababu sisi ndo tunapeleka majina ya wachelewaji.ahaaa hongeraaaa lakini ulikua hushtukiwi
waooooh vipi faida yakeNoisemaker
aaah hapo uliwin aiseeeHata kidogo mkuu,ilikuwa ngumu sana kwa sababu sisi ndo tunapeleka majina ya wachelewaji.
Na hata walimu pia walikuwa wanaheshimu sana viongozi
apo ni goodNilikuwa academic prefect ambapo kwa shule yetu ilkua ni nafasi ya tatu uongozi wa wanafunzi.Imenisaidia kwanza kuvaa badge ya ACADEMIC prefect totozi ni kuzichukua tu😋😋 pia ilinipa mwanga kuandaa tathmini na ripoti mbalimbali🔨
hongeraaaa wengine waliitafuta chance ya msosi walikosa na kunung'unikaFood prefect/ kiongozi wa chakula
1. Nilikuwa nakula kwa wakat
2. Nilikuwa nasave chakula cha usiku nikiamka kusoma
3. Nilipata mke kupitia cheo hicho na tuna watoto wawili
4. Kilinifanya nijifunze kidhungu maana nilihitajika kujieleza infront of mass
5. Nilipata marafiki wengi kupitia food
Hasara
1. Nilikuwa baada ya break time lazma nilale sababu ya uji
2. Nilichukiwa sana na wazembe wasiotaka kusomba maji au kuni kwenye zamu zao
3. Nilijiona mwalimu kunipelekea kuwa mnoko
Wala sio adimu,ni rahisi kukipatacheo chako ni adm hongera
ulikipateje hichoWala sio adimu,ni rahisi kukipata
Hahah upo right kabisaa.Kwa sasa ana watoto 4
😂😂😂😂😂😂Hahah upo right kabisaa.
Usinikumbushe mademu zetu tulikuwa tunapanga waumwe kisha sisi uboizini tunatoroka kwenda hospitali kuwaona.'O' level sikuwa na cheo chochote ila Advance nilikua health prefect Kilinisaidia sana sababu nilikua mhusika pekee wa kusindikiza wagonjwa hospitali na shule ilikua ni boarding so ilikua haipiti wiki mimi niko mjini... napeleka mgonjwa hospitali afu naenda mjini kukata mitaa.