[emoji3][emoji3][emoji3]Usinikumbushe mademu zetu tulikuwa tunapanga waumwe kisha sisi uboizini tunatoroka kwenda hospitali kuwaona.
duh hongera bhanaPrimary nilikuwa monitor darasa la 3 kwa kuteuliwa. Huwezi amini nilikuwa nachapa wapiga kelele na nilikuwa naona ni sahihi kabisa. Kuna muda nilikuwa naamuru walale wakikosa la kusoma (shule ya vidumu na mifagio)
Darasa la 4 nikawa kiranja nikapelekesha wasumbufu vilevile. La 5 mwishoni nikawa HP
Form 1 nikawa monitor kwa vile nilisoma vizuri sana pre-form one na nilikuwa najua. Form 2 nikawa store keeper, ni kazi inataka uaminifu na record keeping, then nikawa environmental prefect. Form 3 HP
A Level kiongozi flani hivi badge ya rank ya mwisho. Chuo nachezea kamati ya uchaguzi. Kwanza uku wanapitishwa watu kabla ya kupiga kura. Mimi ni adui wa siasa
Dini nimeshika nafasi kadhaa na kuwa kaka wa madogo kibao, nina vyeti vya dini kuliko kwingine. Viongozi wengi wa dini wanafeli au huwa wanasoma Edu
aaaah hiyo ilikua chance'O' level sikuwa na cheo chochote ila Advance nilikua health prefect Kilinisaidia sana sababu nilikua mhusika pekee wa kusindikiza wagonjwa hospitali na shule ilikua ni boarding so ilikua haipiti wiki mimi niko mjini... napeleka mgonjwa hospitali afu naenda mjini kukata mitaa.
sawa
au hukua na cheo chochotesawa
kivipiWahujumu ni wengi Tz
Monitor mwenyewe nilikuwa ni mimi hakika ilipendeza sanaPrimary na secondary nilikua na cheo cha mpenzi wake monitor
Chuo nilikuwa na cheo cha mpenzi wa makamo wa rais
weeee Mara hiii umeshakua moniterMonitor mwenyewe nilikuwa ni mimi hakika ilipendeza sana
hongera kwasanaTangu chekechea nilikuwa kiongozi primary school nikawa monitor secondary school nikawa kiongozi wa chakula na baadae nikamalizia kuwa kiranja mkuu(HP).
kivipi
duh hapo sasa chauma pagumWatu wamejinufaisha kwa cheo cha kishule vipi cheo cha umma?
Hahaha! Kujiandika noma!Nilichaguliwa umonitor na mwalimu wa darasa kwa sababu ya kufanya vizuri somo lake.
Noma ikaja nilikuwa ndo naongoza kwa kupiga kelele darasani, kwa hiyo nikawa na mimi najiandika kwenye majina baadhi ya siku.
Nikaondolewa.
Faida siikumbuki.
Hasara: watu wakigombana class monitor pia unachapwa eti hukuwaamua.
hicho ni kibali ulichonacho toka kwa MunguNilkua Monter wa darasa kwa miaka miwili o-lever....3" 4
Bhas tu darasa lilinipenda sikua mkudaa sanaa wala msongo sanaa
Kwanza wahuni wote nilikua nawamudu!!!!
Japo totoz!! Nilizila"" siunajua tena Usmart!!!!![emoji6]
Lakin nadhan hii nyota huwa haifi ni karibia kila sehem...napata kaupepo ka kua kiongoz fulan hiv!!