Je unakumbuka ulipokua shule ulikua na cheo gani? Na faida ya hicho cheo ni ipi?

Primary nilikuwa monitor na kiranja nikiwa darasa la tatu,faida ni kuwa exempted kwenye kazi za shuleni hasa kilimo na usafi,pia nilibahatika kuwa mjumbe wa kamati ya shule kuwakilisha wanafunzi wenzetu tukawa tunapokea posho ya vikao kama wajumbe wengine,hasara ni kupigana au kupigwa ngumi na wababe waliokuwa wananizidi ngumi huo ndio ulikuwa ugumu wa kazi unapokuja.
 
Nilikuwa mpiga ngoma.
Sahv nahudumu bendi ya Saki Star hapa Dodoma mjini.
 
duh hongera bhana
 
aaaah hiyo ilikua chance
 
Tangu chekechea nilikuwa kiongozi primary school nikawa monitor secondary school nikawa kiongozi wa chakula na baadae nikamalizia kuwa kiranja mkuu(HP).
 
Nilkua Monitor wa darasa kwa miaka miwili o-lever....3" 4

Bhas tu darasa lilinipenda sikua mkudaa sanaa wala msongo sanaa

Kwanza wahuni wote nilikua nawamudu!!!!
Japo totoz!! Nilizila"" siunajua tena Usmart!!!!![emoji6]

Lakin nadhan hii nyota huwa haifi ni karibia kila sehem...napata kaupepo ka kua kiongoz fulan hiv!!
 
Hahaha! Kujiandika noma!
Ulitisha kulipa fadhila za wapigaji kelele
 
hicho ni kibali ulichonacho toka kwa Mungu
 
Nakumbuka uboyizini tulikua na monitor na msaidizi wake ambaye tulimuita Monitress japo alikuwa me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…