macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mkuu watu hata picha hawajui kusoma? Hivi watu kama hawa utaulizaje wanafanya nini mjini? Hata yule aliyepewa u-DC naye ni walewale tu. Ila udangaji wao wanajua kulengesha na hawatoki na wachovu. I wish watu wangejua jinsi wanasiasa wenye vyeo au matajiri (tena wenye heshima kweli kweli) wanavyogonga kimya kimya wangeshangaa. Hawa ni fedha yako juu.Mdangaji tu
Ova
Hapana wazazi wake wastaafu ukoplo"Misukosuko, changamoto, makosa aliyoyafanya na hatimaye leo hii kuweza kuibuka kuwa moja ya wanawake maarufu anayehusudiwa na wanawake wengi wakubwa kwa wadogo, ni stori halisi ya maisha yenye kusisimua".
kwa hiyo na hao wanaomhusudi unawashauri wapitie misukosuko,changamoto na makosa aliyoyafanya ili wawe kama yeye jinsi nilivyokuelewa
Na pia kwa mtazamo wangu stori yake wala haisisimui, ungetakiwa kuandika stori haisi ya maisa yenye kusikitisha
By the way wazazi wake wapo bado macop au?
ulitaka alete biography ya babu yako?.acha wivu wa kijinga.Siku ya Nyerere unaleta biography ya Kajala.
Yah na huyo hyo alimbomoaIla faraji alimpenda kajala asee
Wazazi wake wako mbezi makoka"Misukosuko, changamoto, makosa aliyoyafanya na hatimaye leo hii kuweza kuibuka kuwa moja ya wanawake maarufu anayehusudiwa na wanawake wengi wakubwa kwa wadogo, ni stori halisi ya maisha yenye kusisimua".
kwa hiyo na hao wanaomhusudi unawashauri wapitie misukosuko,changamoto na makosa aliyoyafanya ili wawe kama yeye jinsi nilivyokuelewa
Na pia kwa mtazamo wangu stori yake wala haisisimui, ungetakiwa kuandika stori haisi ya maisa yenye kusikitisha
By the way wazazi wake wapo bado macop au?
Kajala above 40 yule
Baba yk mpk Ana staafu alikuwa na nyota mojaHapana wazazi wake wastaafu ukoplo
Kweli kabisaMkuu watu hata picha hawajui kusoma? Hivi watu kama hawa utaulizaje wanafanya nini mjini? Hata yule aliyepewa u-DC naye ni walewale tu. Ila udangaji wao wanajua kulengesha na hawatoki na wachovu. I wish watu wangejua jinsi wanasiasa wenye vyeo au matajiri (tena wenye heshima kweli kweli) wanavyogonga kimya kimya wangeshangaa. Hawa ni fedha yako juu.
Alikuwa na mwenzake anaitwa RoseHapana wazazi wake wastaafu ukoplo
Hiki kitendo cha Kajala kuhamishiwa shule ya Jitegemee lilikuwa ni kosa kubwa sana ambalo wazazi wake walikuwa wamelifanya. Sababu ndani ya muda mfupi tu baada ya Kajala kuanza masomo hapo Sekondari ya Jitegemee mwenendo wake kitabia ulibadilika vibaya mno.
Hahaaaa...hapo mwishoni Sasa naona usharusha chepe moja ktk kazi maalumu ya kufukua kaburiBip Up Habib The Bold and Hanifa.
Hahahah...eti "Ana udongo mzuri"[emoji23]Kajala above 40 yule
Sema Ana udongo mzuri
Ova
Hata mimi hapo pamenipa ukakasi sana, pamoja na andiko la page 8 lakini sijaona mahali wamegusia anafanya nini maishani mwake...
Pole sana KAJALA, Lakini mbona una rangi nyingi kuna picha ni mweusiiii na nyingine ni mweupe. Au basiii Hongera sana Mmakonde