Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

mshana jr muda huo unaupata wapi?Dume inalinda hata mti ukikugusa tu unapata kichapo....Yaani vita ya kukaibia jike jiandae kwa mtiti utakaoamuliwa na vikosi vya UN....Ha ha ha ha ha ha
Ni rahisi sana! Kicheche ni kiumbe na anahitaji kula ili aweze kuishi unachofanya ni kumtegeshea chakula anachopenda huku ukiwa umeweka dozi ya kutosha ya cocaine.....
 

  1. Mkuu Mkereketwa haina haja ya kuniita muongo,ungeweza kutoa usahihi ya maelezo yako ya "kitaalamu" bila kunipa hilo jina.
    Mimi nimefundishwa kwa kurithishwa na mababu zangu wawindaji tabia za mnyama huyu na jinsi ya kukabiliana nae,Wazee hawakuwa wameenda shule kusomea mambo ya wanyama,wao walikuwa wanajuwa mashuzi ya Nyegere si tu kujilinda na maadui kwa harufu kali,bali pia kuwapumbaza nyuki kila wanapokuwa wanakwenda kuvamia asali

    Naahukuru kuwa hujapinga kuwa nyengere hujamba mashuzi yanayonuka,maana hii ndio sifa yake moja wapo kubwa,hizo sababu nyingine ni za elimu darasa ambazo babu zetu hawakupitia.Hata leo ukienda kijijini kwangu ukawaambia mashuzi ya nyegere hayaleweshi nyuki hawatakuelewa na huo "utaalamu" wako


Samahani, tena sana.
 
Usijichanganganye, naomba utafute maana ya neno la "Omnivores" ina maana gani. Kwa kifupi, Nyegere anakula anything na ndiyo maana ya hilo neno la "Omnivores."
Najua maan ya omnivores...nyegere yuko order carnivora sio omnivores...soma classfication yake from king dom to genus utajua...sio wanyama wote wanaokula anything ni omnivores.....kama umewai kufuga mbwa kuna kipindi mbwa ua wanakula nyasi..!.kama umewai kufunga mbwa hii kitu utakua ushawai kuiona lakin mbwa huwez ukamwita omnivores
 
USIOMBE KUKUTANA NA MNYAMA AITWAYE NYEGERE (Honey burger) a.k.a "The fearless animal"
TABIA NA MAMBO YAKE MENGINE

Nyegere ni mnyama mwenye wivu na mapenzi makubwa sana kwa jike lake, hutembea nyuma ya jike huku akiwa ameziba sehemu za siri za jike, hata jani tu likiigusa sehemu ya siri ya jike litararuliwa na kupokea kichapo cha hatari,maana wivu wake ni kuwa jani laitakuwa "limefaidi utamu" wa jike

Nyegere anaweza kununua ugomvi mpaka kijiji cha sita, walina asali ndio waathirika wakubwa wa hasira za Nyegere,anaweza kuujambia mzinga akala kidogo asali na kupeleka kwa mke,mlina asali akifika na kupakua, nyegere ana uwezo ya kufuatilia harufu ya aliyeiba asali yake mpaka nyumbani, na akifika anavunja mlango na kuingia ndani na kumvamia mwizi wa asali yake(ukizingatia milango ya vijijini si imara). Watu wengi vijini wameuwawa kwa namna hii.

Huko Singida aliwahi kusafiri zaidi ya kilomita saba usiku kwa usiku anafuata harufu ya mtu aliyelina mzinga wa asali aliyoijambia, alipofika akavunja mlango na kukuta wamelala watu wanne kwenye mkeka mmoja,akabagua yule mwizi wake, akagawa kichapo halafu akarudi porini kimya kimya

Ni mnyama mdogo anayekula nyoka, kenge, majani, matunda, kenge, mizoga ya binadamu, chui, simba, duma, ndege n.k...kwa kifupi anakula kila kitu na ngozi yake ni ngumu sana kiasi kwamba mishale na mikuki au risasi ni ngumu kupenya..ukitaka kumuua ni kumpiga katika fuvu la kichwa chake na kitu kizito au risasi kichwani,katika guines world book of records yeye ndio the most fearless creature on the planet mwili wake haudhuriki na sumu ya nyoka wa kawaida na ikitokea ameumwa na nyoka mwenye sumu kali na sumu ikapenya kwenye damu yake itamfanya alale kwa masaa kadhaa tu kisha ataendelea na mambo yake.

Ana meno makali/magumu sana yenye uwezo wa kupasua hata jumba la kobe. .Ashawahi kukutwa akipigana na simba na hata tembo na vifaru katika nyakati tofauti.

Ni mvivu katika maswala ya nyumba yake hivyo basi anapojisikia uvivu hujilaza sehemu yoyote inayomfaa..ishaonekana akiwa kajiliza katika pango la mbwa mwitu kama kwake.

Wanapatikana India,Kusini magharibi barani Asia na Afrika. Hapa Tanzania wapo. Mwenye habari zaidi za Nyegere karibu tupeane.....
 
Mada kama hii ilishaletwa hapa,
Jaribu kupekua pekua kwenye mafile.
 
Huyu nyegere inafaa aitwe mfalme na sio simba kama ilivyozoeleka. Ni kiboko ya wote binadamu tukiwemo!
 
Nimeenda Google, nimesoma sentensi hii, du! nimemuogopa huyu mnyama mdogo. The only sure way of killing them quickly is through a blow to the skull with a club or a shot to the head with a gun, as their skin is almost impervious to arrows and spears.
Na mpaka uipate hiyo sehemu ya kichwa na kumpiga ni shughuli!
 
Duniani hakuna mnyama ana wivu kama fisi maji! Na hakuna mnyama anakula mzigo full time kama fisi maji!Fisi maji ni sex addict! Yeye hata jani likimgusa sehemu za siri analirudia analipiga bao!
Nafikiri Mungu katuumba binadamu kipekee sana, kwamba tuna akili yakuwa na kiasi kwa kila jambo!
 
ivyne_25 naona umeleta tena hii mada kutoka huko WhatsApp na Facebook
Ukajuwa unaleta kitu kipya kutoka Fb,kumbe hapa jamaa barafu alishaleta mzigo mzima mzima
Huko Fb mmehariri kidogo tu mkairudisha...Ukiona mada yenye akili huko Fb na WhatsApp ujuwe imeanzia hapa hapa
 
Nyegere, au (Mellivora capensis) ni mnyama mdogo wa familiaMustelidae anayetokea Afrika na Uhindi.

Nyegere huishi peke yao kwenye shimo analolichimba yeye mwenyewe. Ni wachimbaji wazuri sana. Vile vidole vyao vyenye kucha ndefu na ngumu humsaidia sana kwenye kazi hii. Hata kama ardhi ni ngumu sana, ana uwezo wa kuchimba shimo linalomtosha kujificha katika kipindi kinachokadiriwa kuwa ni dakika kumi tu.

NYEGERE (Honey burger) a.k.a "The fearless animal" TABIA NA MAMBO YAKE MENGINE Nyegere ni mnyama mwenye wivu na mapenzi makubwa sana kwa jike lake, hutembea nyuma ya jike huku akiwa ameziba sehemu za siri za jike, hata jani tu likiigusa sehemu ya siri ya jike litararuliwa na kupokea kichapo cha hatari,maana wivu wake ni kuwa jani laitakuwa "limefaidi utamu" wa jike Nyegere anaweza kununua ugomvi mpaka kijiji cha sita, walina asali ndio waathirika wakubwa wa hasira za Nyegere,anaweza kuujambia mzinga akala kidogo asali na kupeleka kwa mke,mlina asali akifika na kupakua, nyegere ana uwezo ya kufuatilia harufu ya aliyeiba asali yake mpaka nyumbani, na akifika anavunja mlango na kuingia ndani na kumvamia mwizi wa asali yake (ukizingatia milango ya vijijini si imara). Watu wengi vijini wameuwawa kwa namna hii. Huko Singida aliwahi kusafiri zaidi ya kilomita saba usiku kwa usiku anafuata harufu ya mtu aliyelina mzinga wa asali aliyoijambia, alipofika akavunja mlango na kukuta wamelala watu wanne kwenye mkeka mmoja,akabagua yule mwizi wake, akagawa kichapo halafu akarudi porini kimya kimya Ni mnyama mdogo anayekula nyoka, kenge, majani, matunda, kenge, mizoga ya binadamu, chui, simba, duma, ndege n.k...kwa kifupi anakula kila kitu na ngozi yake ni ngumu sana kiasi kwamba mishale na mikuki au risasi ni ngumu kupenya..ukitaka kumuua ni kumpiga katika fuvu la kichwa chake na kitu kizito au risasi kichwani,katika guines world book of records yeye ndio the most fearless creature on the planet mwili wake haudhuriki na sumu ya nyoka wa kawaida na ikitokea ameumwa na nyoka mwenye sumu kali na sumu ikapenya kwenye damu yake itamfanya alale kwa masaa kadhaa tu kisha ataendelea na mambo yake. Ana meno makali/magumu sana yenye uwezo wa kupasua hata jumba la kobe. .Ashawahi kukutwa akipigana na simba na hata tembo na vifaru katika nyakati tofauti. Ni mvivu katika maswala ya nyumba yake hivyo basi anapojisikia uvivu hujilaza sehemu yoyote inayomfaa..ishaonekana akiwa kajiliza katika pango la mbwa mwitu kama kwake. Wanapatikana India,Kusini magharibi barani Asia na Afrika

5e6d7212abf5694127232e0e203f6579.jpg
1199feb36f6c66ee114c214fafdb23a0.jpg
 
Wakuu wa nchi naombeni kujuzwa ,
Eti kuna mnyama mwenye Wivu sana na mke wake .Eti akitembea na mke wake yeye huja nyuma akiangalia hiyo chululu ya mke wake ili mnyama mwengine asiweze kuila ,na hata kama jani la mti likidondokea hapo kwenye chululu ya mke wake hulichanachana kwa hasira sana .Je ni mnyama gani huyu .kwa wale wataalamu wa wanyama na wale waliosoma Kile chuo cha MWEKA WILDLIFE COLLEGE PLEASE WAJE NA MAUTALAMU PLEASE.
 
Aliyekuwa anakupa hizo hints angemalizia na jina ingekuwa poa sana.
 
Back
Top Bottom