Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

The man himself Mr nyegereee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fujo yake usipime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Member mmoja aliulizia avatar ya mleta mada,ndio maelezo yake huyo ni sloths tofauti na nyegere.
 
Huyu mdudu tuliwahi kutoboa nae usiku kucha porini.

Ilikuwa saa sita usiku akahamia nyumbani kwenye banda la kuku mbwa walishughulika nae walachoka bila kumuua.

Tukaamua kumshughulikia kwa fimbo na mikuki hatukufua dafu.

Kukimbia hawezi na akiamua vita harudi nyuma.

Tulimpiga sana mpaka sisi wenyewe tukachoka akawa hawezi kukimbia na sisi tumechoka kupiga tunamfuata tu akirudi kupambana anakutana na kipigo, anaendelea na safari.

Ilipofika saa 11 alfajiri kuna mwenzetu mmoja akawa amemsogelea sana na kajisahau mdudu akageuka ghafla jirani na miguu ya msela katika kugeuka kukimbia rungu lake alilirusha kinyume nyume likambahatisha puani akadondoka hapo hapo .

Tukachuna ngozi yake tukaondoka wakati tunamchuna ngozi kuna kipindi alikuwa akitikisika kama mzima vile tunatawayika.

Hata mzoga wake uliendelea kushtuka shtuka hivyo mpaka ulipooza.

Huyu mdudu ukikutana nae njiani hapishi njia kama ni umande lazima utaupiga tu labda uwe na gari.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anatisha...
 
Ni kweli kana nyege saana sanaa kama jina lake,na kakikosa jike kanajipiga punyeto
Sasa ole wako kaone umekaona kanavyopiga punyeto....kazi itaamka
huyu kama amemtokea demu, halafu demu hamuelewi yeye anatafuta mti anajipigia mabao hadi anachoka kwa hasira za kunyimwa papuchi na demu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu, Leo katika pita pita zangu nikakutana na post MTU kapost hiki kimnyama akasema kinaitwa NYEGERA ila suala kwangu halipo kwenye jina lake, suala lipo katika mojawapo ya sifa nilizoziona kuwa ni balaa hata kuliko simba yaani eti ukikutana nako ni balaa[emoji23][emoji23]

Jaman kwa wajuaji wa haka kadude ni kweli? Au ni figisu tu za kutaka kukapaisha maana haingii akilini kidudu kidogo kama hiki kimtoe jasho mwanaume wa bariadi labda wa dar[emoji23][emoji23]
View attachment 1411898
 
Huyo anaitwa honey badger. Ni mnyama jasiri sana na chakula chake kikuu ni nyoka. Ukigoogle the most fearless animal utampata na kuona mambo yake. Si wa mchezomchezo!
 
Uyu mnyama anatabia anaachia ushuzi na kukimbia huku nyuki wakimfuata mkiani

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…