Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

Binafsi nimefurahishwa na historia yake kwa kweli JF NI zaidi ya shule.
 
HUYU NDIE KIUMBE HATARI ZAIDI DUNIANI


Huyu ndie. Mbabe wa Nyika na Chaka lakini Asiyevuma. Huenda ukiambiwa utaje wanyama hatari zaidi duniani utaanza na simba ama chui kwa haraka lakini ukweli ni kuwa Nyegere ama Honey badger ni miongoni mwa wanyama hatari zaidi duniani, kwa tarifa zenye uhakika ni kuwa hata nyoka, chui na simba hufyata kwa Nyegere.

1. Nyegere ndio mmoja kati ya wanyama wasioogopa kitu chochote duniani, huweza kuwakabili Simba na Chui zaidi ya mmoja na kuwashinda. Vile vile hategemei wenzake (uwingi wao) kwakua Njegere ni mmoja wa wanyama wanaotembea kivyake wakati wote isipokuwa wakati wa kupandana tu.

2. Nyegere ana gozi gumu zaidi kuliko wanyama wote wa mwituni kiasi ambacho ni ngumu sana kumuua kwa mshale au hata panga, Vile vile gozi la mnyama huyu linafanya sindano nyembamba ya nyuki kudunda... katika mapambano .anasaidiwa na kucha zake, ndefu na ngumu, kama haitoshi awapo katika hatari ya kushambuliwa ngozi yake huwa ngumu na kukakamaa zaidi ("defensive mechanism).

3. Nyegere hula vyote iwe nyama iwe majani na hii imemfanya kustahili shuruba za mazingira yote iwe nyikani ama mwituni. Chakula chake kikubwa ni asali.

4. Nyegere hula nyoka wa aina yoyote kwakua pia ana sumu kali ambayo akimng'ata nyoka wa aina yoyote haponi ingawa wapo nyoka wenye sumu ambao Nyegere akiwala anaweza kuzimia kwa masaa kadhaa kutokana na ukali wa sumu ambayo inakuua wewe kwa dakika tu.

5. Utafiti unathibitisha kuwa mnyama huyu ana meno na taya ngumu na kali sana kiasi cha kuvunja na kutafuna gamba la kobe kiurahisi.

6. Nyegere ni mnyama mwenye wivu sanaa nyegere hutembea nyuma ya jike yan hata jani likigusa jike lake basi vita yake na jani itakua ni kubwa saaanaaa

7. Hivi unajua kama nyegere ni mlevi 😀😀😀 hutumia sumu za nyoka na wanyama wenye dumu kali kama kilevi oindi anapowaua analala kwa mda ataamka kuendelea na shughuli zake.

8. Nyegere hua natabia ya kula sana asali yani anapeenda asali kupitiliza na hujambia mzinga nyuki hulewa then yy heendelea na shuhuli yake.

9. OLe wako uchukue asalinya nyegere atafuatilia harudi mpka ulipoishia na hua anakuja usiku anaweza kufanya vurugu kubwa sana kama kulipiza kisasi hata ikiwa Dar-Moro 😀😀😀

10. Kutokana na kufanana kwao kwa kimwili, nyegere wana tezi hatari chini ya mkia wake wenye maji yenye harufu kali.. Kwa ujumla, hutumiwa tu kuashiria umiliki wa eneo.

11. Kwakutumia kucha zao ndefu nyegere huchimba sana na anaweza akachimba umbali zaidi kwenda chini na hata kwenye mti wanakucha ngumu sana

12. KWA kawaida nyegere ni mvivuuu sana yan akijisikia kulala anaweza akalala sehemu yoyote ile hajali kama shimo la panya au nyoka au chochote yeye analala😀😀😀

13. Ni kweli kwamba nyegere yupo kwenye kitabu cha maajabu ya dunia kama "Kiumbe wa Ulimwengu asioogopa chochote, Wao ni wavamizi na wenye utayali wa vita muda wote ya kupigana hata kwa fisi, simba chui wao vita tu.

14. Kama hujui nyegere anakula kitu chochotee kile sio ndege sio majani sio mnyama yeye anakigeuza msosi mpka anaposhiba.

15. Nyegere anangozi ngumu sana yenye kuhimili mishale ulishwahi kuona nungu nungu akituoa miba basi ile miba ni kama zile stick za meno kwa nyegere 😀😀😀

16. Wao wanameno ni yenye nguvu na magumu sanaa meno ya nyegere yanvunja lile gamba la kobe unalojua kama biscut😀

17. Nyegere ni mnyama msafi sana sio mchafu kama wanyama wengine walao nyama haogopi na msafi muda wote.

Nyegere

Huwa mkali zaidi pale ambapo kuwa na jike
 
kuna movie moja ya bushmen "god must be crazy" yupo kuna sehemu aling'ang'ani buti la yule mzungu jamaa akaona isiwe kesi akakapa pombe kakalewa ni moja ya viumbe wabishi sana hapa duniani
Vipi ntampata wapi huyu nataka nimfuge
 
Mkuu umeacha tabia yake ya kukimbilia kungata kwenye korodani na uume wa mtu wa jinsia ya kiume anapohisi mtu huyo ni hatari kwake.
..................
 
HUYU NDIE KIUMBE HATARI ZAIDI DUNIANI
Vipi kwa mamba na chatu?


Huyu ndie. Mbabe wa Nyika na Chaka lakini Asiyevuma. Huenda ukiambiwa utaje wanyama hatari zaidi duniani utaanza na simba ama chui kwa haraka lakini ukweli ni kuwa Nyegere ama Honey badger ni miongoni mwa wanyama hatari zaidi duniani, kwa tarifa zenye uhakika ni kuwa hata nyoka, chui na simba hufyata kwa Nyegere.

1. Nyegere ndio mmoja kati ya wanyama wasioogopa kitu chochote duniani, huweza kuwakabili Simba na Chui zaidi ya mmoja na kuwashinda. Vile vile hategemei wenzake (uwingi wao) kwakua Njegere ni mmoja wa wanyama wanaotembea kivyake wakati wote isipokuwa wakati wa kupandana tu.

2. Nyegere ana gozi gumu zaidi kuliko wanyama wote wa mwituni kiasi ambacho ni ngumu sana kumuua kwa mshale au hata panga, Vile vile gozi la mnyama huyu linafanya sindano nyembamba ya nyuki kudunda... katika mapambano .anasaidiwa na kucha zake, ndefu na ngumu, kama haitoshi awapo katika hatari ya kushambuliwa ngozi yake huwa ngumu na kukakamaa zaidi ("defensive mechanism).

3. Nyegere hula vyote iwe nyama iwe majani na hii imemfanya kustahili shuruba za mazingira yote iwe nyikani ama mwituni. Chakula chake kikubwa ni asali.

4. Nyegere hula nyoka wa aina yoyote kwakua pia ana sumu kali ambayo akimng'ata nyoka wa aina yoyote haponi ingawa wapo nyoka wenye sumu ambao Nyegere akiwala anaweza kuzimia kwa masaa kadhaa kutokana na ukali wa sumu ambayo inakuua wewe kwa dakika tu.

5. Utafiti unathibitisha kuwa mnyama huyu ana meno na taya ngumu na kali sana kiasi cha kuvunja na kutafuna gamba la kobe kiurahisi.

6. Nyegere ni mnyama mwenye wivu sanaa nyegere hutembea nyuma ya jike yan hata jani likigusa jike lake basi vita yake na jani itakua ni kubwa saaanaaa

7. Hivi unajua kama nyegere ni mlevi 😀😀😀 hutumia sumu za nyoka na wanyama wenye dumu kali kama kilevi oindi anapowaua analala kwa mda ataamka kuendelea na shughuli zake.

8. Nyegere hua natabia ya kula sana asali yani anapeenda asali kupitiliza na hujambia mzinga nyuki hulewa then yy heendelea na shuhuli yake.

9. OLe wako uchukue asalinya nyegere atafuatilia harudi mpka ulipoishia na hua anakuja usiku anaweza kufanya vurugu kubwa sana kama kulipiza kisasi hata ikiwa Dar-Moro 😀😀😀

10. Kutokana na kufanana kwao kwa kimwili, nyegere wana tezi hatari chini ya mkia wake wenye maji yenye harufu kali.. Kwa ujumla, hutumiwa tu kuashiria umiliki wa eneo.

11. Kwakutumia kucha zao ndefu nyegere huchimba sana na anaweza akachimba umbali zaidi kwenda chini na hata kwenye mti wanakucha ngumu sana

12. KWA kawaida nyegere ni mvivuuu sana yan akijisikia kulala anaweza akalala sehemu yoyote ile hajali kama shimo la panya au nyoka au chochote yeye analala😀😀😀

13. Ni kweli kwamba nyegere yupo kwenye kitabu cha maajabu ya dunia kama "Kiumbe wa Ulimwengu asioogopa chochote, Wao ni wavamizi na wenye utayali wa vita muda wote ya kupigana hata kwa fisi, simba chui wao vita tu.

14. Kama hujui nyegere anakula kitu chochotee kile sio ndege sio majani sio mnyama yeye anakigeuza msosi mpka anaposhiba.

15. Nyegere anangozi ngumu sana yenye kuhimili mishale ulishwahi kuona nungu nungu akituoa miba basi ile miba ni kama zile stick za meno kwa nyegere 😀😀😀

16. Wao wanameno ni yenye nguvu na magumu sanaa meno ya nyegere yanvunja lile gamba la kobe unalojua kama biscut😀

17. Nyegere ni mnyama msafi sana sio mchafu kama wanyama wengine walao nyama haogopi na msafi muda wote.

Nyegere

 
Nyegere ni moja kati ya wanyama wenye wivu sana hapa duniani. Chakula chake kikubwa ni asali,yeye hupanda juu ya mzinga wa asali na kuujambia, baada ya mashuzi yake nyuki wote hulewa na yeye kupakua asali na masega yake na kula. Mwili wake una ngozi ngumu sana kiasi hata nyuki akimuuma hakuna chochote kinatokea

Nyegere ni mnyama mwenye wivu na mapenzi makubwa sana kwa jike lake, hutembea nyuma ya jike huku akiwa ameziba sehemu za siri za jike, hata jani tu likiigusa sehemu ya siri ya jike litararuliwa na kupokea kichapo cha hatari,maana wivu wake ni kuwa jani laitakuwa "limefaidi utamu" wa jike

Nyegere anaweza kununua ugomvi mpaka kijiji cha sita, walina asali ndio waathirika wakubwa wa hasira za Nyegere,anaweza kuujambia mzinga akala kidogo asali na kupeleka kwa mke,mlina asali akifika na kupakua, nyegere ana uwezo ya kufuatilia harufu ya aliyeiba asali yake mpaka nyumbani, na akifika anavunja mlango na kuingia ndani na kumvamia mwizi wa asali yake(ukizingatia milango ya vijijini si imara). Watu wengi vijini wameuwawa kwa namna hii.

Nyegere ndio mmoja kati ya "fearless animal" duniani, huweza kuwakabili Simba na Chui zaidi ya mmoja na kuwashinda,anasaidiwa na ngozi yake ngumu na kucha zake, awapo katika hatari ya kushambuliwa hukakamaa na ngozi yake kuwa ngumu kama "defensive mechanism

Kuna makabila ambayo waganga wa kienyeji hutumia mchanganyiko wa Nyegere kutengenezea limbwata,Yaani wamama huchukua dawa hiyo kuwawekea waume zao ili wawe na "upendo" wa Nyegere.

Wivu wa Nyegere hufanya awachukie sana binadamu wanaume,mwanaume ukiwa porini ukakutana na Nyegere akiwa na jike lake jiandae kupata kibano, huona wivu kuwa utamtamani jike,hivyo hukimbilia kumvamia mwanaume sehemu za siri akiamini ndizo zinazokupa jeuri ya kumtamani jike lake.

Nyegere hula nyoka wa aina yoyote,ana sumu kali ambayo akimng'ata nyoka wa aina yoyote haponi.

FB_IMG_1618602833472.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom