Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
JE UNASALI NA MWENZA WAKO PAMOJA?
FAIDA ZA MUME NA MKE KUSALI PAMOJA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
1. Kusali pàmoja kûna epusha migogoro isiyo na ulazima.
2. Kusali pàmoja kûnawapa Muda wa kutatua migogoro Yenu Kwa sababu hamwezi kumwomba Mungu mkiwa mnakinyongo.
3. Kusali pàmoja kunaileta familia pàmoja na kuwa na Ñguvu na imara
4. Kusali pàmoja kunaunganisha Nafsi na Roho zenu kuwa kitu Kimoja.
5. Kusali pàmoja humfanya Mungu atoe Baraka Bila kizuizi.
6. Kusali pàmoja kunawajenga Watoto kuwa na tàbia ya kumtegemea Mungu.
7. Kusali Pàmoja kûnawapa nafasi ya kupanga mipango Yenu na kuitimiza
8. Kusali pàmoja kunaifanya familia íwe Jeshi imara àmbalo linauwezo wa kuzuia mashambulizi ya maadui zenu íwe maadui ya kimwili au kiroho.
9. Kusali pàmoja kunaondoa ubinafsi miongoni mwenu.
10. Kama mnamuda wa kusali pàmoja ni ngumu familia kuanguka.
JINSI YA KUSALI PAMOJA:
1. Angalieni Ratiba ya Memba wôte wa familia Yenu Ikoje.
2. Pangeni Muda àmbao wahusika wôte watakuwepo.
3. Wekeni agenda za kîla wiki za kuombea.
4. Wekeni Mhusika wa kuomba Kwa kîla Siku au kîla wiki.
5. Wekeni Mtu wa Kutoa Somo Kulingana na Maombi Husika
MUDA WA MAOMBI
1. Angalau mara Mbili Kwa Siku Kwa familia nzima. Asûbuhi na Usiku.
2. Muda wa Maombi ukikaribia wahusika wôte wawe Safi. Waoge, ikiwezekana Pawe na vazi maalumu la kîla Mtu Kuvaa kwaajili ya Maombi. Vazi Hilo liwe Safi.
3. Sehemu ya kusali sharti iandaliwe na iwe Safi ñdipo Msali.
4. Maombi yasipungue nusu Saa na yasizidi Lisaa limoja.
5. Wahusika wôte wa familia ikiwemo Watoto wafundishwe kusali Kwa usahihi Kabisa.
6. Wahusika wôte wa familia ikiwemo Watoto wafundishwe kuwa na heshima na nidhamu Wakati wa Maombi.
Ikiwezekana adhabu ndogondogo zitolewe papohapo Kwa Watoto watukutu.
7. Mwanamke aliyekwenye hedhi asiruhusiwe kuendesha ibada.
8. Baba hata asipokuwepo RATIBA iendelee vilevile na Mama ahakikishe inafanyika
9. Mgeni yeyote asiruhusiwe kusali Wala kuchangia chochote Mpaka azoee utaratibu wa familia Yenu na awe Mtu wa Imani Yenu.
10. Pawe Muda wa Mzazi Hasa Baba Kutoa mawaidha, hotuba au somo kuhusu Dini na huku akihusianisha na Elimu Dunia ili kuwafanya Watoto WAELEWE. Hii inamaanisha Baba lazima awe mjuzi, mwenye Elimu zaidi kuliko yeyote ndàni ya familia. Kwa Watibeli Baba anatakiwa kuwa na ujuzi, ufahamu na Elimu ya Dini. Na kama Baba hakuwa na Elimu na maarifa Basi ayatafute hayo maarifa na ufahamu ili cheo cha Ubaba kimstahili.
9. Pawe na mûda wa Watoto kuuliza maswali kuhusu Somo, kuhusu Dini Yenu au desturi na Mila zenu, na maswali ya nyongeza.
10. Mtoto asidanganywe. Ikiwa Swali litakuwa tata au linahitaji maelezo yenye vielelezo Basi Mzazi atamwambia Mtoto kuwa Swali lake atalijibu Wakati Mwingine. Au swali lake ni nzuri lakini Umri wa Mtoto bado hajafikia kupewa jibu lake.
11. Baba akitoa Somo Baadaye Mama atachangia kidôgo kuelezea gap Ambazo Baba aliziacha íwe Kwa kusahau au Kwa namna yoyote. Vivyohivyo Mama akitoa Somo Baadaye Baba atajazia nyama sehemu alizoacha Mama.
12. Watoto Wapewe Nafasi ya kueleza walichojifunza Siku hiyo Kwa ufupi.
13. Uwèpo Siku àmbayo Watoto watapewa kwaajili ya kuandaa na Kutoa Somo ili kuwajengea msingi, uwezo na uzoefu na kujiamini kuongea mbele za Watu
14. Ziwepo programu ndàni ya Familia zitakazofanyika Kwa pàmoja mfano programme ya Muziki katika familia ya Tibeli. Siku hiyo kîla Memba ndàni ya familia apewe Uhusika wake. Waimbaji Wapewe uimbaji, wapiga Vyombo Wapewe ala za Muziki, waigizaji waandae onyesho linaloendana na Muziki. Kisha onyesho baàda ya kuliandaa vyakutosha mtatafuta jukwaa la kuwasilisha Kazi Yenu inaweza kuwasiku ya birthday ya Moja ya Memba, au family day àmbayo mtaalika family friends. Au kurusha kwèñye Mitandao kwani Siku hizi majukwaa ni mengi na mtakuwa live.
15. Pawe na Siku ya matendo ya huruma Kwa familia kwenda kwèñye jamii mathalani kusaidia Wengine. Kusafisha maeneo ya umma kama hospital, vituo vya Polisi, vituo vya Daladala.
Kutembelea wafungwa, n.k.
16. Watoto wafundishwe kujizuia ikiwemo kuwepo Siku ya kufunga.
Ngoja nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
FAIDA ZA MUME NA MKE KUSALI PAMOJA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
1. Kusali pàmoja kûna epusha migogoro isiyo na ulazima.
2. Kusali pàmoja kûnawapa Muda wa kutatua migogoro Yenu Kwa sababu hamwezi kumwomba Mungu mkiwa mnakinyongo.
3. Kusali pàmoja kunaileta familia pàmoja na kuwa na Ñguvu na imara
4. Kusali pàmoja kunaunganisha Nafsi na Roho zenu kuwa kitu Kimoja.
5. Kusali pàmoja humfanya Mungu atoe Baraka Bila kizuizi.
6. Kusali pàmoja kunawajenga Watoto kuwa na tàbia ya kumtegemea Mungu.
7. Kusali Pàmoja kûnawapa nafasi ya kupanga mipango Yenu na kuitimiza
8. Kusali pàmoja kunaifanya familia íwe Jeshi imara àmbalo linauwezo wa kuzuia mashambulizi ya maadui zenu íwe maadui ya kimwili au kiroho.
9. Kusali pàmoja kunaondoa ubinafsi miongoni mwenu.
10. Kama mnamuda wa kusali pàmoja ni ngumu familia kuanguka.
JINSI YA KUSALI PAMOJA:
1. Angalieni Ratiba ya Memba wôte wa familia Yenu Ikoje.
2. Pangeni Muda àmbao wahusika wôte watakuwepo.
3. Wekeni agenda za kîla wiki za kuombea.
4. Wekeni Mhusika wa kuomba Kwa kîla Siku au kîla wiki.
5. Wekeni Mtu wa Kutoa Somo Kulingana na Maombi Husika
MUDA WA MAOMBI
1. Angalau mara Mbili Kwa Siku Kwa familia nzima. Asûbuhi na Usiku.
2. Muda wa Maombi ukikaribia wahusika wôte wawe Safi. Waoge, ikiwezekana Pawe na vazi maalumu la kîla Mtu Kuvaa kwaajili ya Maombi. Vazi Hilo liwe Safi.
3. Sehemu ya kusali sharti iandaliwe na iwe Safi ñdipo Msali.
4. Maombi yasipungue nusu Saa na yasizidi Lisaa limoja.
5. Wahusika wôte wa familia ikiwemo Watoto wafundishwe kusali Kwa usahihi Kabisa.
6. Wahusika wôte wa familia ikiwemo Watoto wafundishwe kuwa na heshima na nidhamu Wakati wa Maombi.
Ikiwezekana adhabu ndogondogo zitolewe papohapo Kwa Watoto watukutu.
7. Mwanamke aliyekwenye hedhi asiruhusiwe kuendesha ibada.
8. Baba hata asipokuwepo RATIBA iendelee vilevile na Mama ahakikishe inafanyika
9. Mgeni yeyote asiruhusiwe kusali Wala kuchangia chochote Mpaka azoee utaratibu wa familia Yenu na awe Mtu wa Imani Yenu.
10. Pawe Muda wa Mzazi Hasa Baba Kutoa mawaidha, hotuba au somo kuhusu Dini na huku akihusianisha na Elimu Dunia ili kuwafanya Watoto WAELEWE. Hii inamaanisha Baba lazima awe mjuzi, mwenye Elimu zaidi kuliko yeyote ndàni ya familia. Kwa Watibeli Baba anatakiwa kuwa na ujuzi, ufahamu na Elimu ya Dini. Na kama Baba hakuwa na Elimu na maarifa Basi ayatafute hayo maarifa na ufahamu ili cheo cha Ubaba kimstahili.
9. Pawe na mûda wa Watoto kuuliza maswali kuhusu Somo, kuhusu Dini Yenu au desturi na Mila zenu, na maswali ya nyongeza.
10. Mtoto asidanganywe. Ikiwa Swali litakuwa tata au linahitaji maelezo yenye vielelezo Basi Mzazi atamwambia Mtoto kuwa Swali lake atalijibu Wakati Mwingine. Au swali lake ni nzuri lakini Umri wa Mtoto bado hajafikia kupewa jibu lake.
11. Baba akitoa Somo Baadaye Mama atachangia kidôgo kuelezea gap Ambazo Baba aliziacha íwe Kwa kusahau au Kwa namna yoyote. Vivyohivyo Mama akitoa Somo Baadaye Baba atajazia nyama sehemu alizoacha Mama.
12. Watoto Wapewe Nafasi ya kueleza walichojifunza Siku hiyo Kwa ufupi.
13. Uwèpo Siku àmbayo Watoto watapewa kwaajili ya kuandaa na Kutoa Somo ili kuwajengea msingi, uwezo na uzoefu na kujiamini kuongea mbele za Watu
14. Ziwepo programu ndàni ya Familia zitakazofanyika Kwa pàmoja mfano programme ya Muziki katika familia ya Tibeli. Siku hiyo kîla Memba ndàni ya familia apewe Uhusika wake. Waimbaji Wapewe uimbaji, wapiga Vyombo Wapewe ala za Muziki, waigizaji waandae onyesho linaloendana na Muziki. Kisha onyesho baàda ya kuliandaa vyakutosha mtatafuta jukwaa la kuwasilisha Kazi Yenu inaweza kuwasiku ya birthday ya Moja ya Memba, au family day àmbayo mtaalika family friends. Au kurusha kwèñye Mitandao kwani Siku hizi majukwaa ni mengi na mtakuwa live.
15. Pawe na Siku ya matendo ya huruma Kwa familia kwenda kwèñye jamii mathalani kusaidia Wengine. Kusafisha maeneo ya umma kama hospital, vituo vya Polisi, vituo vya Daladala.
Kutembelea wafungwa, n.k.
16. Watoto wafundishwe kujizuia ikiwemo kuwepo Siku ya kufunga.
Ngoja nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam