Hapana sijapata hiyo bahati ya kupanga meza, ila wakitangaza mkutano utafanyika muda Fulani mie huwa ninakuwepo eneo la mkutano. Pia hata kusali Jumuiya mimi ni Katoliki ninawahi sana, kibaruani kwangu ninapotia riziki, bila kusahau nikiitwa kwenye offer ya pombe sichelewiπKumbe ww huna ni mpanga meza kwenye mikutano mtaani kwenu
cjui nikupe offerHapana sijapata hiyo bahati ya kupanga meza, ila wakitangaza mkutano utafanyika muda Fulani mie huwa ninakuwepo eneo la mkutano. Pia hata kusali Jumuiya mimi ni Katoliki ninawahi sana, kibaruani kwangu ninapotia riziki, bila kusahau nikiitwa kwenye offer ya pombe sichelewiπ
ahahahahhaahhah, hahahahaahahahcjui nikupe offer
ha ha watuwengi wa jf lazima waonekane hivyo sababu wengi wanatatizo la kusocialize ha haha jichanganye tuJaman kila MTU humu mpole MTU wa watu mkarimu lol [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] M/Mungu nijaalie nipate mume jf mana wote wanasifa sitahili!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niko piece kinoma sema kitaa hawanijulii...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani mkuu usishangae hata scorpion ni kipenzi cha watu nyuma ya keyboard!!!ha ha watuwengi wa jf lazima waonekane hivyo sababu wengi wanatatizo la kusocialize ha haha jichanganye tu
kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani mkuu usishangae hata scorpion ni kipenzi cha watu nyuma ya keyboard!!!
Acha mm nkuulize swaliMie bila kupepesa macho, nasifika kwa kusimamia muda ile kitu wapare tunaita " time management". Hadi mwenyekiti wangu wa mtaa akiitisha mkutano wa mtaa wakitangaza mkutano utaanza saa nane kamili mchana, mie ananitumia sms private kwamba usije kwenye mkutano saa nane kama tulivyotangaza, uje kuanzia saa kumi kamili.
πAcha mm nkuulize swali
La prevent "umeshawahiwa au bado"
We bado ki Ben 10 banaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Duh! Kitaa hawakujulii? Tufanyeje basi pale kitaa tuweze angalao kujisogeza?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lisikutishe hilo neno..coz huwa wanajifariji nafsi zao!Utasikia malaya tu huyo hapo wao hawayaoni
[emoji134] [emoji134] [emoji8] ongea basππ
π