Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umenisemea anaonekana bingwa huyuweweee mademu unawaona bata pori..! mbona kama unataja kunihakikishia upo kwenye chama cha CHAPUTA
Ukarim wa nini?Heshima na Ukarimu
Yaani my dear we acha tu hvu tumewaumbua wamedilisha upepo naona na majambawazi wamejitokeza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] ...
Humu watu ni fekerooo sijapata ona
Full uongoo yaani..
Ntakutafuta aisee, kama ni KE lakiniMpole ila nisikasirishwe, mkristo mkatoliki anayejitahidi kuishi maisha yanayompendeza Mungu.
Ukarim wa nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]avatar inaonyesha tu we cyo wa mchezo sport
Haaa Haa...Yaani my dear we acha tu hvu tumewaumbua wamedilisha upepo naona na majambawazi wamejitokeza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Potelea mbali [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Acha tamaa mkuu..
Kikatoliki hapa umezini tayari[emoji23] [emoji23] [emoji23]
uko vizuri chikiraMie bila kupepesa macho, nasifika kwa kusimamia muda ile kitu wapare tunaita " time management". Hadi mwenyekiti wangu wa mtaa akiitisha mkutano wa mtaa wakitangaza mkutano utaanza saa nane kamili mchana, mie ananitumia sms private kwamba usije kwenye mkutano saa nane kama tulivyotangaza, uje kuanzia saa kumi kamili.
Kumbe ww huna ni mpanga meza kwenye mikutano mtaani kwenuMie bila kupepesa macho, nasifika kwa kusimamia muda ile kitu wapare tunaita " time management". Hadi mwenyekiti wangu wa mtaa akiitisha mkutano wa mtaa wakitangaza mkutano utaanza saa nane kamili mchana, mie ananitumia sms private kwamba usije kwenye mkutano saa nane kama tulivyotangaza, uje kuanzia saa kumi kamili.
Yaani kwa hilo niko vizuri sio siri.😀😀😀
uko vizuri chikira