Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Acha upotoshajiKabeji na bamia ni dawa tosha ya vidonda vya tumbo,
Kwa majani tumia mbigili na mziwaziwa,
Kula mlo kamili, kunywa maji mengi, ondoa stress,
Kwishaaaaaa
Hii niliwahi kusikia zamani sana. Juice ya kabeji/ bamia/ karotiKabeji na bamia ni dawa tosha ya vidonda vya tumbo,
Kwa majani tumia mbigili na mziwaziwa,
Kula mlo kamili, kunywa maji mengi, ondoa stress,
Kwishaaaaaa
Inawezekana huko dawa iliko inauzwa bei poa, ila yeye "kawa winga"🤣🤣🤣🤣Huyo ni mwizi tu.........mimi nilikuwa na hivyo vidonda lakini dawa ya ukweli iliyotuliza wala haizidi thamani ya 20,000.........na vimetulia kabisa mpaka sasa naweza kula vitu tofauti bila shida..........kumbuka dawa ya ukweli ya kutibu tatizo huwa haiuzwi bei kubwa.........mimi nilitumia only 2 vichupa na kubadilisha mfumo wa chakula kwa muda basi hakuna kwek kwek wala cho cho mpaka leo nadunda
Winga wa maisha ya watuInawezekana huko dawa iliko inauzwa bei poa, ila yeye "kawa winga"🤣🤣🤣🤣
Yuko kibiashara zaidi broo.Kwa maelezo uliyotoa inaonesha huna uelewa wowote wa vidonda vya tumbo. Vidonda vya tumbo ni matokeo ya ugonjwa sasa utatibuje vidonda hujatibu channzo? Au kisababishi?
Kwa majani tumia mbigili na mziwaziwa, ✅✅Kabeji na bamia ni dawa tosha ya vidonda vya tumbo,
Kwa majani tumia mbigili na mziwaziwa,
Kula mlo kamili, kunywa maji mengi, ondoa stress,
Kwishaaaaaa