Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane hapa

miembe ya kisasa nini?
Sio ya kisasa tu. Kama herbicides hazipo selective kwa zao lako na ukatumia non selective obvious it will kill each and everything. Kama ni selective kwa miembe [emoji106] [emoji106] [emoji106]. Otherwise nakushauri upalilie tu.
 
Sio ya kisasa tu. Kama herbicides hazipo selective kwa zao lako na ukatumia non selective obvious it will kill each and everything. Kama ni selective kwa miembe [emoji106] [emoji106] [emoji106]. Otherwise nakushauri upalilie tu.

Asante mkuu kwa ushauri wako.
 
WADAU MSIDHANI KUNA UTAJIRI WA HARAKA HARAKA AMBAO UPO SIMPLE,......KWENYE KILIMO
PRODUCTION IS ONLY HALF THE BATTLE,..... STORAGE, KUSAFIRISHA NA MASOKO YA BEI NZURI NI JASHO LINGINE TENA
 
Mkuu Habari Naomba Maelekezo Ya Namna Njia Na Taratibu Za Kuandaa Kitalu Cha Nyanya Ile Nipate Miche Bora Na Iote Kwa Ufanisi Mkubwa.
 
kilimomaarifa.tajiri
Heko sana kiongozi
Hii shule unayotoa daah binafsi nakuelewa sana
Mungu abariki kazi za mikono yako.


 
Mkuu Habari,pole Na Ahsante Kwa Elimu Unayotupatia.Naomba Kujua:nimeambiwa Na Wauzaji(East West Seed) Kuwa Kipato F1 inatakiwa kupandwa sm 75 kwa 75 na victory f1 1m kwa 1m sasa naomba kujua athari za kupunguza yaan kwa mfano kipato f1 nikafanya sm50 na victory sm75? na je kuanzia siku yangu kitalu cha nyanya naweza puliza dawa za ukungu na ile ya kuzuia ugonjwa wa kiuno?
 
NAOMBA KUULIZA,MWAKA HUU VIAZI VIMEUNGUA SANA NA UKUNGU SHAURI YA MVUA NYINGI, SASA KILA MKULIMA ANASEMA LAKE,WANASEMA IVORY M 72 WP NI BORA ZAIDI KULIKO RIDOMIL GOLD,WENGINE WANASEMA SUPER RIDO NDIO BORA ZAIDI,NAOMBA UTUSAIDIE MTAALAMU KWA MVUA HIZI ZINAZOENDELEA KUNYESHA DAWA IPI INGEFAA ZAIDI. ASANTE
 
ASANTE SANA,NYANYA ZANGU HAZIJAUNGUA NA UKUNGU HUWA NAPIGA RIDOMIL GOLD ,NA ZINACHANUA ,JE NAWEZA KUENDELEA KUPIGA RIDOMIL GOLD PEKEE
 
Basi niweke sawa kwa ku list mfano
1. Mahindi- so and so(kiua gugu) - dosage

Asante mkuu
 
Asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…