Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane hapa

Mkuu Sorry Naomba Kuijua Kwa Undani Hii Yara Mila Winner Na Je Ikilinganishwa Na Dap Ipi Bora? Je Ukitaka Kupandia Yara Milla Winner Unaweza Kuweka Siku Ngapi Kabla Ya Kuweka Mche Wa Nyanya Chini?
 
Ok Nimekuelewa Mkuu,naweza Pata Hiyo Yara Miller Winner Kuna Kaka Yangu Anauza Labda Tu Ningejua Kuwa Nitakuwa Sahihi Kama Nikiweka Mbolea Hiyo Siku Tatu Kabla Ya Kupanda Huku Kila Siku Nikimwagia Maji Na Then Siku Ya Nne Napanda Mche
 
kuweka siku tatu before ya kupanda si mbaya, but kuna watu wamepractice hatakuiweka siku hiyohiyo ya kupanda mche na imefanya vizuri tu pia....kikubwa iyeyuke mapema (1 hour before you plant)

Kila lakheri

Ok Nimekuelewa Mkuu,naweza Pata Hiyo Yara Miller Winner Kuna Kaka Yangu Anauza Labda Tu Ningejua Kuwa Nitakuwa Sahihi Kama Nikiweka Mbolea Hiyo Siku Tatu Kabla Ya Kupanda Huku Kila Siku Nikimwagia Maji Na Then Siku Ya Nne Napanda Mche
 
Ok Vipi Mkuu Nikitumia Yara Miller Winner Kupandia Na Nikakuzia SA na kuboost kwa POLY FEED(starter) na maua yakianza nikapiga busta ya maua(mult- k) na CAN?
 
Ok Nimekuelewa Mkuu Ninauwezo Wa Kupata Finisher,ni Muda Gani Sahihi Wa Kupuliza?
 
ushauri
kama utatumia polyfeed starter (wakati wa vifundo vya maua vinapoanza) basi ni vizuri ukamalizia na polyfeed finisher wakati wa matunda..

check hapo juu kwenye red mkuu (finisher ni ya kumalizia -piga wakati wa matunda)

ok nimekuelewa mkuu ninauwezo wa kupata finisher,ni muda gani sahihi wa kupuliza?
 
Habari Mkuu,kesho Naenda Kuhamisha Miche Ya Nyanya Kutoka Kwenye Kitalu,je Ni Salama Na Ni Vizuri Kupuliza Dawa Ya Funza Au Wadudu Asubuhi Kabla Ya Kupanda Jioni?
 

Asante kaka kwa maujuzi yako, vipi Kilimo cha Vitunguu nacho unamujuz take pia?
 

mkuu ningependa kujua hicho kiwango cha 60tons/acre ninaweza kukipata nikitumia mbegu gani under good management??
 
naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha passion fruit
 
Nimestafidi sana kwa somo la nyanya, natarajia kulima nyanya kwny greenhouse kwa kutumia maarifa haya. Nitaleta mrejesho hapa, Inshaallah
 

mkuu asante sana kwa elim, ningependa kujua tu kua je hizi mbegu kama Eden na assila kuna umuhim wa kuzikitia miti? na je kuna faida yoyote kupunguzia matawi??
 

Ahsante kwa elim mkuu, nimejiongezea ujuzi mwingi tu.. mana ndo najiandaa kuingia shamba msimu huu wa kiangazi kati ya December na march, ningependa kujua tofauti ya ubora kati ya kamba hizi maalum za kufungia kwenye nyanya na zile za kawaida tu za katani zinazopatikana madukani..! mana inaweza kutokea nikakosa hizo maalum..
 

Ahsante kwa elim mkuu ...uko vizuri... ngoja msimu uanze nika apply maujuzi...
 
Quote] samahani mimi ni mgeni katika kilimo cha nyanya kutokana na maelezo naona kuwa kilimo hiki kina faida sana. 1.naomba kuuliza kuna maandiko yanasema gram 30 hadi 40 za mbegu zinatosha kwa ekari moja nawe unasema gram 150 zinatosha kwa ekari je utofauti huu unatokana na aina ya mbegu au upandaji? 2.umesema nyanya aina ya eden ni nzuri msimu wa mvua na baridi,je nitahitaji gram ngapi za mbegu kwa ekari moja? 3.pia naomba kujua ikiwa nitapanda mbegu ya eden na kuhudumia vizuri naweza kupata tenga ngapi kwa ekari moja. Mwisho napenda kutoa shukrani kwa elimu unayotoa,mungu akubariki. Asante.
 
Mkuu Habari,naomba Kujua Eti Ni Kweli Kwamba Nyanya Inavyoanza Kuzaa Matunda Katika Matunda Ya Mwanzo Unatakiwa Utoe Tunda Moja La Kwanza Kabisa? Sababu Nimeambiwa Hilo Tunda Linakula Sana Mbolea Na Maji Mengi.Hivyo Ukilitoa Hilo Matunda Mengine Yanakuwa Makubwa Na Shape Nzuri,naomba Kujuzwa Hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…