Mkuu Habari,naomba Kujua Eti Ni Kweli Kwamba Nyanya Inavyoanza Kuzaa Matunda Katika Matunda Ya Mwanzo Unatakiwa Utoe Tunda Moja La Kwanza Kabisa-MKUU HII SI KAWAIDA KUFANYIKA KATIKA NYANYA, BALI HUFANYIKA SANA KAKA PILIPILI HOHO (CAPSICUM- SWEET PEPPER)? Sababu Nimeambiwa Hilo Tunda Linakula Sana Mbolea Na Maji Mengi-KWA PILIPILI HOHO, HILO TUNDA LA KWANZA-King fruit KUONDELEWA ILI KURUHUSU MMEA KUTOA MAUA NA MATUNDA MENGI YENYE AFYA NJEMA (UBORA) NI KAMA PRUNNING VILE-Upogoleaji, HII HUFANYIKA ILI KUUPA MMEA STRESS ILI UZAE ZAIDI. Hivyo Ukilitoa Hilo Matunda Mengine Yanakuwa Makubwa Na Shape Nzuri,naomba Kujuzwa Hilo.