Tatemahunda
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 232
- 91
Mkuu nikupongeze kwa moyo wako wa kujitolea, wengi tumewashuhudia humu ndani hata kukutajia tu mbegu nzuri ya nyanya ambayo inafanya vizuri kwenye open space anataka pesa, wengi wapo humu kwa maslahi yao, ila wewe umeamua kutenga muda wako bila kuhitaji hata kamchango ka bundle, pongezi kwako mkuu, wengi tumefaidika sana kwa taaluma yako na tutaanza kuitumia punde tu, kamwe hatutakusahau kwa moyo wako wa kujitolea...