Habari kaka mimi Ni Mkulima ila cjawa mzoefu ndio kwanza nataka kuanza kutokana na darasa hili linalo endelea ...nitaanza na eneo Dogo tu la robo eka 1000m² ....nasari tayari nimeshataarisha ..kutokana na ugumu wa upatikanaji wa mbegu nimeamua kutumia mbegu ya Tanya ...na nasari nilitaarisha tarehe 26/12/2015... Na tarajia January kupandikiza ...mbolea nitakayo tumia Ni ya samadi mavi ya mbuzi pamoja na ngombe ....sasa kidogo Nina swali ??KATIKA MBOLEA HAPO MIX KIDOGO NA DAP, AU NPK YA 17:17:17, AU MAP (MONO AMONNIUM PHOSPHATE). HIZO SAMADI NI NZURI KUIMPROVE SOIL STRUCTURE (AERATION-WATER &AIR) LAKINI ZINAFANYA KAZI SLOWLY SANA.
#Je mbegu niliotumia kwa kipindi hiki Ni sahihi???-KWA KUWA TUNAENDA MSIMU WA MVUA, TANYA NI NZURI PIA LAKINI HIYO NI OPV (HAIZAI SANAA KAMA HIZI HYBRID-F1) KAMA MONICA AU EDEN
#Ardhi yangu INA matatizo ya nematode japo c kwa kiwango kikubwa nini nifanye????- JITAHIDI UWEKE CHOKAAA MWEZI MMOJA KABLA YA KUPANDA SHAMBANI TUMIA CHOKAA YA RHINO TOKA TANGA, KWA EKA NI MIFUKO 8, UIVURUGE NA UDONGO KABLA YA KUPANDA, PIA TAFUTA DAWA (FUNGICIDES/INSECTICIDES) MOJA WAPO YA HIZI KAMA, FENOMEN 400 EC (FENAMIPHOS 40%) , AU NIMBECIDINE (FROM NEEM EXTRACT-MWAROBAINI) , AU AGRIFOSI, AU FURADAN 4F, AU AMISTAR XTRA SPRAY SHAMBANI KABLA YA KUPANDA, NA UTAKUWA UNARUDIA MOJA WAPO YA HIZO DAWA KILA BAADA YA SIKU 14
#then vp naweza kujikinga na wilt sababu wakulima wengi wanakilio hiki.., UKITUMIA CHOKAA, NA MOJA WAPO YA HIZO DAWA NILIZOKWAMBIA HAPO JUU, UTAKUWA SAFE NA WILT KWA 70%
Heshima kwako.