Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wengi wa sasa ni wavivu sana.
Hadi mboga ndizi wasaidiwe gengeni?
Mama zetu walikata kila kitu kwa mikono na hawana alama za kujikata. Hamjaenda unyago?
Ndiyo mkuu jaribu.
Muda ndo huu ..unialike sotojo Hilo Mama.Leo mapemaa
Na walitumia muda mwingi jikoni mwisho wakawa wa jikoni, Sasa hivi ni mwendo wa chopper zinakata haraka na muda wa kukaa jikoni unakuwa mfupi.Wanawake wengi wa sasa ni wavivu sana.
Hadi mboga ndizi wasaidiwe gengeni?
Mama zetu walikata kila kitu kwa mikono na hawana alama za kujikata. Hamjaenda unyago?
Halafu mimi kile kidude sikipendi walaKabisa ,mtoa mada hajui kupika kabisa,nyanya inatakiwa isagwe au atumie kile kitude cha kusugua nyanya inakuwa mchuzi kabisa na si mapande mapande,hakuna vitunguu saumu wala tangawizi.
Kipi hicho?Halafu mimi kile kidude sikipendi wala
Cha kukwangulia nyanya...huwa nakata tu na kisuKipi hicho?
Duh haya bibieCha kukwangulia nyanya...huwa nakata tu na kisu