Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh nisamehe bure! Kumbe wewe ni Ke. Nilikuwa nasoma uzi mmoja ukasema kuwa wewe ni ke. Chonde chonde nisamehe. Huwa sipendi kuwasema ke maana ndiyo wanafanya dunia hii iwe tamuHebu ntumie.picha ya jiko lako ?... Tena wakati wa kupika.... Sio mshamaliza nakuosha vyombo na kusafisha meza
Ruksa mkuu.Nikutaadharishe tu kabla ya kuzila uziloweke kwenye maji siku 3 ili ule utelezi iishe.Maana ukizikaanga tu hivihivi bila kuziloweka ule utelezi sio mzuri unaleta watoto dunianiEeeeh...... Korodani zinaliwa?
Ntakuja kata zawako nichemshe huenda zinaladha sawa sawa..na mayai ya Ostrich
Gheto sinaga chopping board, ila natumiaga kibao cha kusukumia chapati [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Vitunguu lazima nikate in round shape. Hoho lazima nikate vyembamba sana alafu ndogo ndogo.
Ila Quetzal baby, hivyo vitunguu vyako mbona umevikata kitemi sana? [emoji848]
[emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]Ruksa mkuu.Nikutaadharishe tu kabla ya kuzila uziloweke kwenye maji siku 3 ili ule utelezi iishe.Maana ukizikaanga tu hivihivi bila kuziloweka ule utelezi sio mzuri unaleta watoto duniani
Zamu yake ikifika Akipokea kwenye kibati nitamwambiaKwakweli....Ila nachangisha mchango wa chopping board mpya.... Mwambie mwajuma wa Manzese anichangie....Dada yake
Mkuu nilishaingia hasara ya hiyo makitu.situmii hizo nimetengeneza yangu ya CHUMAHabari menu,
Mimi nimezoea Sana Kutumia chopping board jikoni kiasi kwamba nikitumia mikono najikata Sana na kisu vidole.
Lazima nitumie chopping board kukata nyama, mboga zamajiani...vitunguu yaani almost kila kitu.
Chopping board yangu ni kuuu kuu Sana na more than ten years
Anyone else uses a chopping board like me, just wondering
Tecno yangu haitoi quality picha
ASANTENI KWA MAONI
Nikweli chopping board yangu...imechoka... nashukuru kwa maoni yenu...ILA SINUNUI mpyaaa..hata kidogo..Hadi ikatike vipande vipande ndo ntaacha kuitumiaaa...
Kama Kuna mtu anazo mbili...anitumie moja ....
Nawaombea nanyie mnunue zenu Asante
Dah pole Jf ndo ilivyo , ukiweka thread yahitaji moyo wa chuma[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....Bora negative comment za mapenzi...kuliko hii chopping board...nilikua naipenda Sana....[emoji25][emoji25][emoji25]
Wale wa NGUNIANI tuna comment wapi?
Labda hukuiweza ile mbinu uliofundishwa na mama, swala utakata utakavyo na msosi utakuwa mtamu, usijali..
Tupo sawa me nikiwa maskani ..huwa napenda kujipikia mwenyewe Kama wife hayupo ....Wala binti wa kazi ..me na Jembe langu hao jikoni ..kibao Cha chapati Kiko wapi Ni mwendo wa kukata Tuu.
Anyway mtoa mada kanikumbusha wacha ninunue leo.
Ukitaka kuwa wa mfano mzuri fanya kitu kwa viwango/standards zinazotakiwa.
Ndiyo mkuu jaribu.Kumbe kibao cha chapati kinafaa
Nitakitumia