Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Nimempa mfano wa chopping styles tu. Hapa nilipo kwa sasa labda nichop makaratasiKwanini utumie picha ya Google...kwanini usichop Wewe ukatuma....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimempa mfano wa chopping styles tu. Hapa nilipo kwa sasa labda nichop makaratasiKwanini utumie picha ya Google...kwanini usichop Wewe ukatuma....
Kabisa ,mtoa mada hajui kupika kabisa,nyanya inatakiwa isagwe au atumie kile kitude cha kusugua nyanya inakuwa mchuzi kabisa na si mapande mapande,hakuna vitunguu saumu wala tangawizi.
Ni hizo za mbao tu wamezimodify, sema u pro wako kwenye chopping ndio utafanya spices zako zitokee vizuri. Other wise utumie chopping machineOwky...send me pic kwa DM...maybe it will motivate me to buy Kama yako ...
Mydear Depal.... Ntazingatia chopping style...Kabla sijapost picha Tena Humu...Nimempa mfano wa chopping styles tu. Hapa nilipo kwa sasa labda nichop makaratasi
Asante Mkuuu...Nimejua kwanini hua nikisanga nyanya kwenye blender.... Mchuzi hauwi mzito Sana...Sio sahihi, kwanza ukisaga nyanya unaifanya kuwa pulpy hivyo unaua fibers ambazo ni nzuri sana kufanya mchuzi kuwa mzito.
Pili mapishi hayalingani, huwezi kusaga nyanya halafu ukaweka kwenye kachumbari.
Kusema mtu hajui kupika kwa sababu hajaweka viungo ambavyo unataka wewe pia sio sahihi. Kila mtu ana perception yake kwenye chakula, kuna wengine hawapendi swaumu wala tangawizi.
I used to watch a chef anaiwa Jamie kule food Network...he chops however he wants... Sometimes he chops like a pro..sijui Julian style na kudice vitunguu....Ni hizo za mbao tu wamezimodify, sema u pro wako kwenye chopping ndio utafanya spices zako zitokee vizuri. Other wise utumie chopping machine
Mkuuu.....Wewe unashida yako maalumu...hapo Kuna chakula kimepikwa au Kuna chopping board,vitunguu na hizo nyanya na carrots..Huo ni msemo tu kama nyota njema huonekana asubuhi...kwahiyo chakula kikiwa cha mtu m1 unapika bokoboko?
Najua ni mazoea uliyojijengea.😀✌️ Ni kitu kidogo na rahisi mtu kutozingatia.Lahaula wala kuwaata illa billah....
Nimekoma
Hata mimi kusaga nyanya hua sipendi. Na huwa simenyi pia.Sio sahihi, kwanza ukisaga nyanya unaifanya kuwa pulpy hivyo unaua fibers ambazo ni nzuri sana kufanya mchuzi kuwa mzito.
Pili mapishi hayalingani, huwezi kusaga nyanya halafu ukaweka kwenye kachumbari.
Kusema mtu hajui kupika kwa sababu hajaweka viungo ambavyo unataka wewe pia sio sahihi. Kila mtu ana perception yake kwenye chakula, kuna wengine hawapendi swaumu wala tangawizi.
He he he he heeeeeeeeeeeeHakuna chopping board ya kuuza ya namna hiyo
Wewe ni chef wa hotel ipi mkuu? Au unafundisha kilimanjaro institute of technology nini?
Sawa mkuu kweli mapishi yanatofautiana.Sio sahihi, kwanza ukisaga nyanya unaifanya kuwa pulpy hivyo unaua fibers ambazo ni nzuri sana kufanya mchuzi kuwa mzito.
Pili mapishi hayalingani, huwezi kusaga nyanya halafu ukaweka kwenye kachumbari.
Kusema mtu hajui kupika kwa sababu hajaweka viungo ambavyo unataka wewe pia sio sahihi. Kila mtu ana perception yake kwenye chakula, kuna wengine hawapendi swaumu wala tangawizi.
Mkuuu.....Wewe unashida yako maalumu...hapo Kuna chakula kimepikwa au Kuna chopping board,vitunguu na hizo nyanya na carrots..
Kama. Kukatakata Hivyo hufanya chakula kuwa kibaya.....Basi na usile.
[emoji3][emoji3][emoji3]... Ancestors Mkuuu great great great grand mother...Kabla hajafa aliacha wosia kuwa hicho kibao kitumike na kirithishwe ...kwa vizazi na vizazi......He he he he heeeeeeeeeeee
sa kaipata wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya urithi wa ma great great grannies
Mkuuu...umeshinda kwa sababu umekua na lengo la kushindana....
Nilisahau kuwa.mazingira ya mtandaoni Ni perfect.... Mimi nikapiga TU picha Kama natuma kwa mdogo Wangu...ambae kazoea mazingia....Najua ni mazoea uliyojijengea.[emoji3][emoji3577] Ni kitu kidogo na rahisi mtu kutozingatia.
🤣 Embu piga nitumie PMNilisahau kuwa.mazingira ya mtandaoni Ni perfect.... Mimi nikapiga TU picha Kama natuma kwa mdogo Wangu...ambae kazoea mazingia....
Ndo maana wanaume huwa wanalalamika wadada hawafanani na wanavyokutana nao...Sasa Kama nikipiga picha....nyuma ya chopping board yangu nikapost....So itakuwa balaaa[emoji3]
Tulia wewe...Anapigwa mtu hapa muda siyo mrefu
Hata mimi kusaga nyanya hua sipendi. Na huwa simenyi pia.