Je, unatumia Chopping Board kwa kukatia vitunguu na nyanya?

Je, unatumia Chopping Board kwa kukatia vitunguu na nyanya?

Gheto sinaga chopping board, ila natumiaga kibao cha kusukumia chapati [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Vitunguu lazima nikate in round shape. Hoho lazima nikate vyembamba sana alafu ndogo ndogo.

Ila Quetzal baby, hivyo vitunguu vyako mbona umevikata kitemi sana? [emoji848]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..... Sikataki kitunguu round shape hata siku Moja...kwasababu kitunguu hua nakikata nusu natumia Mara mbili...

Anyway kuhusu kibao Cha chapati hiyo ndo chopping board yenyewe...

Sipendi kukata kata vidogo dogo...Sana..
 
Sawa kama ni hivyo ,ukipata mda ni PM nikufundishe kupika uwe MBOBEZI...Pia pendelea kuangalia vipindi vya Mapishi vya ITV au Azam utapata madini na kujua jinsi kupika msosi mzuri.
Mkuuu....hapo nimeweka vitunguu na nyanya...ushaconclude sijui kupika...
 
Ratio ya nyanya na vingine haiendani kabisa
Hapo naona
Kitunguu robo
Hoho robo
Karoti sjui ni chini ya robo
Ukataji wa hovyo. Kama ni mwanamke hapo una F ya mapishi.
Naomba nitoe hiyo picha...
Nadhani ningetumia ya Google ingekuwa vizuri zaidi
 
Sijui wale content creater huwa wanafanyaje na comment negative ...ptuuu..

Anyway. Nia ilikua kuonesha chopping board yangu...alafu nimesema Ni ya Miaka.zaidi ya.kumi hivyo imechoka..pia ..camera yangu haina viwango...tatu ilikua Ni usiku hence Giza giza
 
Sijui wale content creater huwa wanafanyaje na comment negative ...ptuuu..

Anyway. Nia ilikua kuonesha chopping board yangu...alafu nimesema Ni ya Miaka.zaidi ya.kumi hivyo imechoka..pia ..camera yangu haina viwango...tatu ilikua Ni usiku hence Giza giza
Ukitaka kuwa wa mfano mzuri fanya kitu kwa viwango/standards zinazotakiwa.
 
Ukitaka kuwa wa mfano mzuri fanya kitu kwa viwango/standards zinazotakiwa.
Sasa...Hapa NATAKA kuwa mfano kwa Nani?....

Hilo ndo jiko.nalotumia...hiyo ndo chop board nayotumia... Sasa ulitaka nikanunue mpya... Nisubirie jua litoke...ninunue.iphone ...alafu nipige picha.....ili kuonesha chopping board...

Aiseeee.... influencers.nawapa kong'ole..kwa kazi wafanyayo
 
Habari menu,

Mimi nimezoea Sana Kutumia chopping board jikoni kiasi kwamba nikitumia mikono najikata Sana na kisu vidole.

Lazima nitumie chopping board kukata nyama, mboga zamajiani...vitunguu yaani almost kila kitu.

Chopping board yangu ni kuuu kuu Sana na more than ten years

Anyone else uses a chopping board like me, just wondering

Tecno yangu haitoi quality picha

View attachment 1717679
Nimesikitika sana kusikia hiyo chopping board umeitumia zaidi ya miaka 10, kumaanisha kuwa una uzoefu wa mapishi zaidi ya hiyo miaka. Vitunguu umekata kama dogo wa kiume ambaye nimeanza kumfundisha kukata vitunguu juzi.
 
Nimesikitika sana kusikia hiyo chopping board umeitumia zaidi ya miaka 10, kumaanisha kuwa una uzoefu wa mapishi zaidi ya hiyo miaka. Vitunguu umekata kama dogo wa kiume ambaye nimeanza kumfundisha kukata vitunguu juzi.
Basi...ntajifunza kukata kitunguu vizuri
 
Wewe mchafu, hiyo chopping board itupe ununue mpya. Aidha mazingira ya jikoni kwako ni machafu. Jifunze kuwa msafi
Hebu ntumie.picha ya jiko lako ?... Tena wakati wa kupika.... Sio mshamaliza nakuosha vyombo na kusafisha meza
 
Back
Top Bottom